Tatizo la PC yangu

Tatizo la PC yangu

Richard deo

New Member
Joined
Nov 21, 2017
Posts
4
Reaction score
0
Jamani nina pc yangu ambayo nimepewa na brother yangu na baada ya kuchukua nilifika nyumbani na baada ya muda nikaanza kutumia ila baadaye nilibanwa na shughuli kwa Wiki kama mbili na nilipo kuja kuitumia tena ikawa haiwaki na ikiwaka haioneshi maandishi so inaonesha mwanga mweupe alafu unakata then hakuna kinachoendelea bali huwa inajirudia tu
Naombeni msaada wa tatizo hili la PC yangu jamani
 
Back
Top Bottom