Tatizo la nguvu za kiume

Swet-R

JF-Expert Member
Jul 20, 2018
5,613
8,042
Hivi hili tatizo ni la dunia nzima au Tanzania?.

Nauliza hivi kwa sababu nataka nijue kama hili tatizo hata huko dunia ya kwanza,ulaya,marekani,hilo tatizo ni kubwa kama ilivyo Tanzania.

Nijuavyo wazungu si watu wema,hasa kwa mwafrika,ila wanaishi na sisi kwa akili sana ili iwe kazi kuwajua kwamba hawatutaki kabisa duniani.

Na nashindwa kuelewa shida yao ni nini mpaka wanatamani hata kesho tuwe tumetokomea wote wafrika duniani? Rasimali za afrika?

Wanatumaliza ki-silence sana. Mababu zetu zamani walikuwa wanaishi miaka mpaka 90,80. Siku hizi ukifika 60 umejitahidi. Ila wao wazungu miaka 90 wengi ndio wanafia hapo kwa sasa.

Sasa uko hivi kwetu. Kuna magonjwa ya ajabu mengi siku hizi yako afrika,zamani hayakuwepo. Wametuletea mbolea za chumvi,kila sehemu zinatumika.

Huwezi kukwepa usile ugali,mchele,hata mboga mboga za majani wanapurizia dawa za kuua wadudu hata kwenye matunda hivyo hivyo.

Ndio utakutana na vijana wadogo tu hawana nguvu za kiume,kuumwa viuno,migongo,Enia n.k. Lakini wenyewe wazungu hata wakija huku hawatumii hivi vyakula. Je ulaya nako kuna shida hizi pia?
 
Tatizo ni kubwa sana lakini sijui kama ni muafaka kuwalaumu wazungu . Tatizo kubwa nadhani style mpya ya maisha. Miili haina mazoezi ya kutosha na vyakula visivyofaa + msongo wa mawazo ki uchumi
 
Upo 95% perfect maisha hakuna, stress mtindo mmoja kula vizuri mpaka ulazwe hospital... Yaani maisha ya wasi wasi lazima ukifika 60 mwili ugome kuishi
Tatizo ni kubwa sana lakini sijui kama ni muafaka kuwalaumu wazungu . Tatizo kubwa nadhani style mpya ya maisha. Miili haina mazoezi ya kutosha na vyakula visivyofaa + msongo wa mawazo ki uchumi
 
Tatizo ni kubwa sana lakini sijui kama ni muafaka kuwalaumu wazungu . Tatizo kubwa nadhani style mpya ya maisha. Miili haina mazoezi ya kutosha na vyakula visivyofaa + msongo wa mawazo ki uchumi
Inaweza kuwa? Lakini unakuta hata wanaofanya mazoezi kila wakati hilo tatizo wanakumbana nalo.
 
Kuna jamaa yangu kila wakati tunakamua nae mazoezi. Na misosi ya asili sana,kama ndizi za kuchemsha,mboga za majani. Shida iko hapo kwenye mboga za majani (wanapurizia dawa),wali na ugali wanatumia mbolea ya chumvi. Kwa hiyo nafikiri hakuna mahala unaweza kukwepa. Lakini analalamikia sana kiuno na mambo yale pale juu hayajakaa sawa
 
Yani huwa nakwreka sana unakuta Mtu mshapata Vinywaji vya kutosha then mkashua na nyama choma ya nguvu then Naingia Lodge.
Yani Jamaa round moja tuu Chalii nyingine hawez kurudia tena?
Nakereka Mnooo..
Jaman Wanaume achen kula Chips.
Fanyen Mazoez na kulen vitu vya Asili mtushughulikie...
Lasihivyo Mnatulazimisha tutoke nje ya Mahusiano.
Yan sitokaa nisahau siku moja nilimzarau Dogo Mmoja nikamtunuku
Weeee niliambulia kichapo cha Mbwa Mwizi nilivyorud Nyumban Baba watoto kunigusa tuu nikamwambia Tumbo linaniuma Balaa siko vizur hivyo akaniacha
 
Yani huwa nakwreka sana unakuta Mtu mshapata Vinywaji vya kutosha then mkashua na nyama choma ya nguvu then Naingia Lodge.
Yani Jamaa round moja tuu Chalii nyingine hawez kurudia tena?
Nakereka Mnooo..
Jaman Wanaume achen kula Chips.
Fanyen Mazoez na kulen vitu vya Asili mtushughulikie...
Lasihivyo Mnatulazimisha tutoke nje ya Mahusiano.
Yan sitokaa nisahau siku moja nilimzarau Dogo Mmoja nikamtunuku
Weeee niliambulia kichapo cha Mbwa Mwizi nilivyorud Nyumban Baba watoto kunigusa tuu nikamwambia Tumbo linaniuma Balaa siko vizur hivyo akaniacha
Tatizo linaanzia kwako, kumbe wewe mwenyewe unamlisha baba watoto chips unategemea nini?
 
*SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE*
*JAWZAA*
NI DAWA MUJARABU KWA MATATIZO YAFUATAYO
KUONGEZA UJAZO WA MBEGU ZA KIUME(SPERM COUNT)
KUIMARISHA MISULI YA UUME
HUONDOA TATIZO LA KUWAHI KUFIKA KILELENI
HAMU YA TENDO LA NDOA
KUSAFISHA MIRIJA YA MANII

*MATUMIZI*
KOROGA KIJIKO KIMOJA (CHA CHAI) CHA DAWA HII KWA MAZIWA MOTO KIKOMBE KIMOJA KUTWA X 3 SIKU 21

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi
+255 655 821 550
Sulayman Sangida---Dar es Salaam

Mkuu Bei tunaomba utupe
 
Back
Top Bottom