africa6666
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 281
- 53
Salaam wana Jf, naomba kufahamishwa kukhusu hii kitu, kila nifunguapo PC yangu napata ujumbe huu "WINDOW HAS DETECTED AN IP ADDRESS CONFLICT another person in this network has the same IP address as this computer", je inawezekana jamaa amehack, na kama ndo hivyo ana acces kiasi gani na docs zangu? je natakiwa kufanya nini? naomba msaada