Baada ya kunyoa huwa unapaka nnWakuu mimi ni wale wanaopenda kufunga ndevu nyingi adi zikafunika sura.
Tatizo kila vikianza kuchomoza kidogo tu kidevu kinawasha adi nalazimika kunyoa. Je kuna tatizo la kiafya au ni namal tu ndevu kuwasha.
Embu jarbu kukanda na kitambaa cha maji ya moto ukishamaliza kunyoa itakusaidia hutakaa uone pele wala kusikia muwashoSipaki chochote mkuu
Unayoa kwa kutumia nini? Mkasi, wembe, mashine au Magic?
Basi jaribu kutumia magic...Kwa mashine mkuu
Watu husema Magic sio nzuri kiafya. Tena pengine husababisha kansaBasi jaribu kutumia magic...
Daaaaa mkuu magic zinatoa upele sana mm kiukweli naona bora kutumia mashine tuBasi jaribu kutumia magic...
Inategemea ntu na ntu! Kuna wengine magic zinawakubali wakati wengine mashine zinawakubali. Wazungu asilimia kubwa wananyoa ndevu kwa kutumia magic!Daaaaa mkuu magic zinatoa upele sana mm kiukweli naona bora kutumia mashine tu
Au chupa?Unayoa kwa kutumia nini? Mkasi, wembe, mashine au Magic?
Au chupa?
Nunua kitaulo ukimaliza kunyoa na hata zikiwa zimeshaota, lowanisha kitaulo kwenye maji ya moto kisha kanda kidevu. Utajisikia vizuuri bila kuwashwa.Sipaki chochote mkuu