FULL GAMES
New Member
- Jun 22, 2011
- 3
- 0
Naomba ushauri wenu,mimi mvulana nina umri wa miaka 27 nilianza kufanya mapenzi nikiwa mdogo sana,hadi hivi sasa sijui idadi ya wnwwake niliowapitia,in short ni mtaalam wa kuwapa haki zao hawa kina dada,kwa sasa nna miaka 4 tangu niachane na huu uhuni baada ya kmpata binti niliempenda na kuamua kumsubiri kwa miaka 4.Miezi 2 iliyopita nimefunga nae ndoa na nikamkuta bikra,tatizo ni kwamba huyu binti hana kabisa libido na tangu aanze kupcvuka hadi hivi sasa na hajawahi kusikia hamu ya tendo la ndoa hata siku moja najitaidi kwa kila njia kumtayarisha,namchezea kila sehemu inayostahili lakini wapi,Je kuna dawa ya kuongeza nyege? naombe msaada wenu napenda mke wangu apate haki yake ya msingi.