Nyanda lunduma
Senior Member
- Apr 10, 2015
- 187
- 68
Habari ndugu zangu,
Ni siku nyingi sasa mke wangu kila tukifanya tendo la ndoa baada ya kumaliza kiuno chake huwa kinauma. Ni tatizo gani na nini solution ambayo inaweza kumsaidia aweze kuondokana na tatizo hilo.
Nawasilisha wana JF msaada kwenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni siku nyingi sasa mke wangu kila tukifanya tendo la ndoa baada ya kumaliza kiuno chake huwa kinauma. Ni tatizo gani na nini solution ambayo inaweza kumsaidia aweze kuondokana na tatizo hilo.
Nawasilisha wana JF msaada kwenu
Sent using Jamii Forums mobile app