Ningeoomba unitafute ili nione hivyo vipele vinafanana vipi ili nijue nitakusaidiaje....pole sana.Naomba ushauri wa kisayansi hapa, kama miaka mitatu iliyopita niliumwa UTI ikaambatana na muwasho ukeni lakini nikapewa dawa za kunywa na ya kupaka inaitwa DAKTARIN nikapona...lakini tangu siku hiyo muwasho umekuwa ukijirudia na kuondoka pindi nikiipaka daktarin na wakati mwingine nikijiangalia najikuta kuna kama viupele vidogo saanaaa kwa ndani kidogo manzoni mwa njia ya ukeni nikipima UTI sina na nikajaribu pia kupima STD"s pia sina.. Je nifanyeje mwenzenu????
Asante mangungo nitakupigia.
Duuuu sasa kitunguu swaumu nakilaje?? Yaani punje moja au kitunguu kizima??
wife wangu analalamika anawashwa sana kila nnapopiga bao, yaani spam zinamuwasha sana......hivi tatizo litakuwa ni nini?maana huwa anapigakelele sana za kuwashwa. naombeni mnisaidie.