Tatizo la MUCUS kooni

Asante kwa ushauri mkuu nitazingatia
 
Hiyo hali imenitokea wiki 2 zilizopita nilipata shida kwa mda wa wiki 1, dalili ilianza kama mafua makali, kinywa kilikuwa kichungu, baada ya hapo kooni kunakuwa kama kuna kitu, ukilazimisha kukohoa tunatoka tupande tweupe tugumu tunanuka, kwa sasa mi niko fresh.
Mama watoto nae kabanwa na hali hiyo nae anasema kama kuna kitu kipo kooni akilazimisha kukohoa tunatoka huto tujamaa tweupe tugumu.
Ko nami nimetia kambi hapa kujua hali hiyo inasababishwa na nini na tiba yake ingawa mi nilipona bila kutumia tiba yoyote.
 
Asante sana mkuu

Labda nijibu maswali yako...



Swali la (1)

Nimekuwa na tatizo takribani miaka mi tano sasa.

Swali la (2)

Makohozi yana rangi ya njano muda mwingine meupe yenye chembe chembe ya vijiwe vidogo sana
Mmmmmm, what if ni kansa, miaka mitano ni mingi sana
 
Mmmmmm, what if ni kansa, miaka mitano ni mingi sana
Mwanzo nilichukulia kawaida ila baada ya kuona hali imekua seriously ndio nikaanza kwenda hospitali ila bado tatizo liko pale pale
 
Mucus ya kooni inaitwa diphtheria je umesha pona hiyo Mucus ya kooni Mkuu?
 
Overview. Diphtheria (dif-THEER-e-uh) is a serious bacterial infection that usually affects the mucous membranes of the nose and throat. Diphtheria is extremely rare in the United States and other developed countries thanks to widespread vaccination against the disease.



Can diphtheria be cured?
Today, the disease is not only treatable but also preventable with a vaccine. The diphtheria vaccine is usually combined with vaccines for tetanus and whooping cough (pertussis).

Je, diphtheria inaweza kuponywa?
Leo, ugonjwa huo hautibiki tu bali pia unaweza kuzuilika kwa chanjo. Chanjo ya diphtheria kawaida hujumuishwa na chanjo ya pepopunda na kifaduro (pertussis)
Kwa ushahidi wa hayo maandishi hakuna dawa ya kizungu aka dawa ya hospitali itakayo weza kutibu hayo maradhi labda dawa za asili .
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…