tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Hausemi ni muda gani uvumilie ili ule ule zinazoitwa mbivu, pia hautoi uwezekano wa kukosa au kula zilizooza.
yamekukuta mkuu nini?
Hilo neno lilinifanya nikambaka mpenzi wangu, tena bafuni kwa mkwe. Nimevumilia without specific period ya mpaka lini!
umenichekesha kweli, uvumilivu usio na deadline? Mwisho wa sikt atakuita zoba.
Sometimes babu zetu walipokua wanatunga misemo unajiuliza mtu hivi kulikua na two schools of thot?? Kwamba kundi hili likisema "mvumilivu hula mbivu" the other side wanasema "ngoja ngoja huumiza tumbo"...
Duh! jamani hamna subra vijana ungesubiri angekujia mwenyewe tena akija mwenyewe ndio unakula vitamu kuliko ukiwa na pupa.....
mkuu baada ya kukata tamaa na kuacha kumfatilia, anadai sina uvumilivu na ndivyo anavyowaambia wenzake. Sijui ilibid nivumilie mpaka lini ndipo nionekane mvumilivu.
Ulitakiwa uvumilie hadi amchoke anayemkosha kwa sasa...