Naxria abdalla
Senior Member
- Feb 28, 2025
- 158
- 281
Habari wana jamii forum naomba kupewa mawazo juu hali nilonayo moyo huwa unaniruka na baadhi ya muda kushtuka ata km hakuna kitu cha kushtuka hii inatokana na nini?ahsanteni
Punguza kitambi utanishumuru.Habari wana jamii forum naomba kupewa mawazo juu hali nilonayo moyo huwa unaniruka na baadhi ya muda kushtuka ata km hakuna kitu cha kushtuka hii inatokana na nini?ahsanteni
High blood pressureHabari wana jamii forum naomba kupewa mawazo juu hali nilonayo moyo huwa unaniruka na baadhi ya muda kushtuka ata km hakuna kitu cha kushtuka hii inatokana na nini?ahsanteni
🤣🤣🤣🤣🤣Makafir mengi yanasema yamesoma ngoja yaje, tatzo lako mbona dogo
Sina uhakika lakini tokea nilipo tumia dawa ya kupunguza acidity tumboni hii hali mimi iliondoka.Habari wana jamii forum naomba kupewa mawazo juu hali nilonayo moyo huwa unaniruka na baadhi ya muda kushtuka ata km hakuna kitu cha kushtuka hii inatokana na nini?ahsanteni
Una mafuta mengi mkuu…na uhakika haufanyi mazoezi. Ukifanya mazoez ya kutoa jasho (mfano kukimbia, push ups n.k) kila siku kwa muda wa mwezi mmoja tu, hutakisia ilo tatizo wala ugonjwa mwengine wwte.Habari wana jamii forum naomba kupewa mawazo juu hali nilonayo moyo huwa unaniruka na baadhi ya muda kushtuka ata km hakuna kitu cha kushtuka hii inatokana na nini?ahsanteni
Nimeanza mazoezi kdg kdgUna mafuta mengi mkuu…na uhakika haufanyi mazoezi. Ukifanya mazoez ya kutoa jasho (mfano kukimbia, push ups n.k) kila siku kwa muda wa mwezi mmoja tu, hutakisia ilo tatizo wala ugonjwa mwengine wwte.
Fanya mazoezi na epuka kula vyakula vyenye mafuta sanaHabari wana jamii forum naomba kupewa mawazo juu hali nilonayo moyo huwa unaniruka na baadhi ya muda kushtuka ata km hakuna kitu cha kushtuka hii inatokana na nini?ahsanteni
Stress au wasiwasi (Anxiety): Wakati unapokuwa na wasiwasi au mawazo mengi, mwili wako unaweza kuwa na dalili za kimwili kama vile kupiga moyo kwa haraka au kushituka. Hii ni kawaida kwa watu wanapokutana na mabadiliko ya kihisia au hali ya wasiwasi.Habari wana jamii forum naomba kupewa mawazo juu hali nilonayo moyo huwa unaniruka na baadhi ya muda kushtuka ata km hakuna kitu cha kushtuka hii inatokana na nini?ahsanteni