Tatizo la miguu kuwaka moto (neuropathy): Ushauri, Kinga na Tiba

Huu ushauri umeshiba ndio maana naipenda jf.pengine ushauri kama huu ili uupate pesa lazima ikutoke

unapendekeza hospitali gani na gani ambapo wataalamu wa hivyo vipimo wanapatikana
Ahsante sana kwa ushauri wangu ndg yangu
 
Huu ushauri umeshiba ndio maana naipenda jf.pengine ushauri kama huu ili uupate pesa lazima ikutoke

unapendekeza hospitali gani na gani ambapo wataalamu wa hivyo vipimo wanapatikana
Nadhani vipimo hivi naweza kupata hospital ya Rufaa ya Kanda Mbeya
 
Bahati mbaya sana hata Neurologists nchi hii ni wachache tena unakuta hospital kubwa aliyepo ana Bsc.Neurology pekee hata vifaa vya kupimia tu hakuna zaidi ya yeye kukuchomachoma visindano huko unyayoni.

Hizo ni dalili za Peripheral Neuropathy,ukishajua kisababishi (Nerve damage,Vitamin B deficiency,Diabetes, Inheritance au una HIV etc) watakuanzishia matibabu
jitahidi ufike hospital kubwa like MNH walau watafanya hata Nerve conduction Test (NCT)

Hizo dalili zitaendelea kuwa severe kadri muda unavyokwenda, jitahidi ufanye zoezi la hivyo viungo.

Ukiangukia kwa waganga wa kienyeji ndo umepotea mazima.
 
Naomba kupewa elimu juu ya kupata ganzi kunakoenda sambamba na kuwaka moto miguuni kuanzia kwenye vidole vya miguu ( Kanyagio la mguu) ambapo Nusu ya kanyagio kuishia vidoleni napata ganzi sana kiasi kwamba hata nikichomwa au kukatwa na kitu sihisi maumivu zaidi ya kuona damu tu ndio naweza kutambua kwamba nimeumia. Sambamba na hilo sehemu hiyo inayopata gazi inakuwa kama naungua moto kabisa. Naomba ushauri juu ya hili tafadhalini
Punguza mawazo mkuu
 
Naomba kupewa elimu juu ya kupata ganzi kunakoenda sambamba na kuwaka moto miguuni kuanzia kwenye vidole vya miguu ( Kanyagio la mguu) ambapo Nusu ya kanyagio kuishia vidoleni napata ganzi sana kiasi kwamba hata nikichomwa au kukatwa na kitu sihisi maumivu zaidi ya kuona damu tu ndio naweza kutambua kwamba nimeumia. Sambamba na hilo sehemu hiyo inayopata gazi inakuwa kama naungua moto kabisa. Naomba ushauri juu ya hili tafadhalini
hata mimi nasumbuliwa na hili tatizo. langu linaongezeka na kifua kuuma
 
Bahati mbaya sana hata Neurologists nchi hii ni wachache tena unakuta hospital kubwa aliyepo ana Bsc.Neurology pekee hata vifaa vya kupimia tu hakuna zaidi ya yeye kukuchomachoma visindano huko unyayoni...
HVI! Duuh!
 
Back
Top Bottom