Bullshit
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,300
- 1,495
Asante sanaPole sana ndugu yangu
Asante sanaPole sana ndugu yangu
Kuna dawa kama hiyo niliwahi kuitumia,ila yenyewe unaviringiaha njani mbili,moja nilikuwa naviringisha alafu na choma ili Tone zake ziwe na moto fulani.nyingine nilikuwa sipashi moto,zote nilikuwa natumia kwa mkupuo,tone za moto kisha inafuata ya baridi.ila sina kumbukumbu nilikuwa naanza na hipi..Huwa kunadawa ya majani hupondwa pondwa kisha inaviringishwa kwenye jani pana nakunyunyuziwa kwenye sikio huwa inamuwasho fulani hivi inapoingia sikioni na huchukua siku 3 hadi 4 ikichelewa hadi wiki 1 kupona lakini siijui dawa yenyewe marehemu babu angekuwepo angeweza kukusaidia ndugu yangu.
Pole sana
Pole sana, sasa kunanafuu uliyoipata wakati ulipokua ukiitumia hizo dawa?Kuna dawa kama hiyo niliwahi kuitumia,ila yenyewe unaviringiaha njani mbili,moja nilikuwa naviringisha alafu na choma ili Tone zake ziwe na moto fulani.nyingine nilikuwa sipashi moto,zote nilikuwa natumia kwa mkupuo,tone za moto kisha inafuata ya baridi.ila sina kumbukumbu nilikuwa naanza na hipi..
Haya nitalifanyia kazi.classmate wangu aliwah kuugua hivyo enzi z primary badae akawa hatoki usaha nilipomuuliza katumia dawa gan akasema walichemsha kuku then mafuta ya kuku ndo wakawa wanadondoshea sikioni...kwasasa sjui alipo so sjui kam kun dawa nyingine alitumia
Pole sana, hakikisha unatumia habat soda unaweza ukashangaa umepona kabla haujaenda hata hospitalAsante kwa ushauri, ila hospital nilienda sana na niliwahi kuwaambia wanipeleke hospitali za mikoa lakini mchakato huo kila siku nilikuwa naambiwa njoo kesho mpaka leo.
Ukweli suala na kifedha siko vizuri maana mimi naishi kambini Nyarugusu na hakuna shughuli yeyote ninayofanya maana haturuhusiwi kufanya shughuli yeyote.
Tena yanadondoshwa na unyoya.classmate wangu aliwahi kuugua hivyo enzi za primary badae akawa hatoki usaha nilipomuuliza katumia dawa gani akasema walichemsha kuku then mafuta ya kuku ndo wakawa wanadondoshea sikioni kwasasa sijui alipo so sijui kama kuna dawa nyingine alitumia
Process ya kuyapata?Mafuta ya kuku wakienyeji ni dawa nzuri sana
Hujawahi kuchemsha kuku mkuu, mbona mafuta yanatoka.process ya kuyapata?
Nawasiwasi na umri wako wapi kaandika vibaya kama ukiona kitu hakija kupendeza si uachane nacho.. Watu wengine kujifanya kila kitu mnajua fyuu kumbe hamna polite .Pole sana ushauri wangu wa kwanza jitahidi kutofautisha Facebook na Jamiiforum katika uandishi wako, unaweza ukawa na shida ya muhimu watu wakakupuuza.
Ushauri wa pili kama kwenu hakuna hospitali kubwa unashindwa vipi kupanda gari kufata huduma ya matibabu, una uhakika upo serious?
Kama una tatizo la kipato unashindwa kufika hospital anza kutumia Mafuta ya Habat soda wakati ukiendelea kutafuta pesa ya matibabu.
Kumbuka Kufika hospital ni lazima
Cannabis sativa pia majani mazuri sana kutibu maradhi ya sikio.Huwa kunadawa ya majani hupondwa pondwa kisha inaviringishwa kwenye jani pana nakunyunyuziwa kwenye sikio huwa inamuwasho fulani hivi inapoingia sikioni na huchukua siku 3 hadi 4 ikichelewa hadi wiki 1 kupona lakini siijui dawa yenyewe marehemu babu angekuwepo angeweza kukusaidia ndugu yangu.
Pole sana
Ndiyo nikweli yana tibu ila huyo kuku awe wa kienyejiclassmate wangu aliwahi kuugua hivyo enzi za primary badae akawa hatoki usaha nilipomuuliza katumia dawa gani akasema walichemsha kuku then mafuta ya kuku ndo wakawa wanadondoshea sikioni kwasasa sijui alipo so sijui kama kuna dawa nyingine alitumia
YeahTena yanadondoshwa na unyoya
Aisee nimeuchek huo mmea nikahisi ni marijuanaTumia cannabis sativa
Majani mabichi ya mmea huu ni dawa nzuri sana ya sikio unayachuma kisha unakamua ile juisi yake unamwagia ndani ya sikio, niliwahi tumia kwa mtoto ilimfaa sana.
Au wengine wasema tumia mafuta ya kuku ...haya sijawah tumia nasikia wakisema ni dawa pia.
Pole sana