Tatizo la maji na umeme Dar mamlaka kimya

Tella Mande

JF-Expert Member
Jun 2, 2018
494
674
Kwa muda sasa maeneo mengi ya Dar yana tatizo la maji zaidi ya wiki sasa na mamlaka husika ziko kimyaa !!. Maeneo ya Sinza, Mwenge, Kinondoni, Mwananyamala nk maji hamna kabisaa.

Kukatika umeme zaidi ya mara 3 kwa siku nayo inaanza kuzoeleka hukumamlaka zikiwa kimyaaa.

Huku ni kutupa ishara gani wananchi?
Kuwa serikali imeridhia?

Sijaamini bado.

Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
 
Kwa muda sasa maeneo mengi ya Dar yana tatizo la maji zaidi ya wiki sasa na mamlaka husika ziko kimyaa !!. Maeneo ya sinza, mwenge, kinondoni, mwananyamala nk maji hamna kabisaa.

Kukatika umeme zaidi ya mara 3 kwa siku nayo inaanza kuzoeleka hukumamlaka zikiwa kimyaaa.

Huku ni kutupa ishara gani wananchi?
Kuwa serikali imeridhia?

Sijaamini bado.

Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
Chukua hatua, je ofisi za wahusika umewasiliana nao kutoa malalamiko yako?au ndio kukimbilia humu?,mkuu make the first move nenda ofisini kwao, kama feed back ni zero then unakimbilia kwenye platform kama hii ukiwa na facts mkononi, mimi nipo hapa kinondoni shamba maji yanatoka kama kawaida, wewe upo kinondoni gani hiyo?
 
Chimba kisima binafsi utakuwa umemaliza tatizo la maji kwako kwa muda mrefu na hutojutis. Gharama ya kulipia Kila wakati, purukushani na mamlaka za maji na pia unaweza faidika kwa kuwauzia wengine
 
Back
Top Bottom