samoramsouth
Senior Member
- Jan 16, 2011
- 191
- 30
Baada ya siku tano mpaka leo tar. 24 Oktoba maji hayatoki hususani eneo la Kerege CCM. Sijui maeneo mengine.
Meneja bagamoyo ufafanuzi tafadhali.
Nimeuliza wanasema ni tatizo la umeme kwenye mitambo. Hivi gesi ya mtawra inafanya nini?
Inaudhi unatoka kulitumikia taifa unarudi nyumbani unakuta maji hamna.
Meneja bagamoyo ufafanuzi tafadhali.
Nimeuliza wanasema ni tatizo la umeme kwenye mitambo. Hivi gesi ya mtawra inafanya nini?
Inaudhi unatoka kulitumikia taifa unarudi nyumbani unakuta maji hamna.