Tatizo la mahusiano

Tatizo la mahusiano

Wewe unawaza kutiana tu?
Kama namuita tufanye mengine ya maisha tuachane na hawa viumbe wazito???

Yeye anazungumzia mapenzi ww unataka mambo mengine wapi na wapi..sema unataka kuanza kumkoboa
 
Ww ulipaniki 2 labda alikua anataka apige kwa x wake ikabidi aseme hivo wakati unapendwa ww hauwajui wanaume nn mtu anakana hajaoa na ana familia we vip
 
mambo ya wasichana na wavulana kwa kweli siyawezi, nahitaji ya wanawake na wanaume ndio akili zetu zinaenda sawa.
 
unajilazimisha mahusiano mapya. Jipe muda wa kupona kwanza.
 
Pole sana dada

Kuwa mpole take as much time as u can to heal yourself
 
Jamani nimeshawahi kuwa katika uhusiano mwaka uliopita na mvulana mmoja ambaye nlimpenda sana , Lakini kuna siku aliniazima simu yake ndipo nlipoziona meseji ambazo alikuwa anachat na ex gel frend wake ambapo walikuwa wakinijadil wakati huo alisema ameshaachana naye mfano huy mvulana alikua anamwambia kwamb kuna huyu msichana anaekt ananipend sana na kati mi sina muda naye, anajipendekeza kwangu , mi sina muda nayee n.k nlishindwa kuvumilia coz the way nlivokuwa nampend nliumia san bas nkaamua kuachan naye, ninapata shida san kuwa katika mahusiano kwani sibahatik kumpend mtu, na hata nikimpenda bas nawez kuamua kuw nay lakin nikimkumbuka yule guy wa kwanza alivonifanyia na jinsi nlivompend naamua nisikubal kuw na mtu huyo?Nifanyej ili nirudi katika hali yangu ya kawaida ?

Maho gel tuamini kipi kati ya hiyo hapo juu na hii link hapa chini?

Http://www.jamiiforums.com/showpost.php?p=9669861


Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
 
kiriku lisen ishu nikwmba that guy cjaka nay even a half year, then hakuna kilichotendk zaid ya kuwa frends tu, so tatizo lililojitokez ni kwamba a guy aliku ana cheat na kwa kipind hich nlihifadhi kila kitu kwake na alikuw anajua cwez kumuach so wat am afreidng nngeendelea ningeumia san mwish wa cku tendo lilikua halija take place
 
Pole sana dada soma neno la Mungu, omba MUNGU na jaribu kuwa bize na kazi zako hii hali itaondoka
 
ukijipa mda hiyo hali itaondoka automatic , zidisha mda kwa marafiki hasa wa kiume
 
Jtahdi kusahau yaliyopta, mpe nafasi mwngne kwan binadam ha2fanan tabia n ww n mschana una haki ya kupenda n kupendwa pia.
 
Back
Top Bottom