STK ONE
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 627
- 184
Pole na bibie pia au ni wewe tuu peke yako.ebu tumia hiyo dawa ulopewa hapo juu ikifaa utujulishe.
Kweli JF kuna vituko....kuna haja ya utambulisho wa jinsia kwenye user names zetu....me WAKIUME JAMANI!!!
Asante kwa ushauri Ni tayafanyia kazi....!!!!