Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,317
- 7,738
Pumbu erosion hiyo mkuu, nenda hospital.Habari wadau,Kama kichwa Cha bandiko kinavyo eleza je Ni Aina gani ya ugonjwa huo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pumbu erosion hiyo mkuu, nenda hospital.Habari wadau,Kama kichwa Cha bandiko kinavyo eleza je Ni Aina gani ya ugonjwa huo?
Huo ugonjwa mzee unaitwa PUMBU EROSION.
inapelekea hiyo ngozi ngumu baadae kuchubuka tena kisha pumbu lote linakua jekundu...hilo halina shida,shida ni pale pumbu litakapogusana na suruali au ngozi wakati wa kutembea,mzee utahisi this world is not your home.
Ugonjwa huu kwa waliosoma shula za boys za serikali ndio wanajua balaa lake...
Ubaya ni kwamba haunaga dawa,ukiamua tu unapona wenyewe.
Punguza kuvaa boxer mbichi,usifuge mavuzi sana,halafu usile midemu michafuchafu isiyojua kujiswafi.
Korodani mzee linda kuliko mboni ya jicho
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaujua huu ugonjwa mkuu? Mi nliumwaga nikiwa form1 mid 90's ila uliponaga wenyewe sikutumia dawa yoyote na nlifanya siri hakuna mtu alijua hata rafiki wa karibu
Zinafanya magamba meusi mkuuSorry! baada ya kubabuka ngozi huko vp huwa zinaawaida ya kufanya magamba meusi au zinabaki hivyo hivyo?
Unipa jibu baweza kukupatia ufumbuzi wa tatizo lako.
ᵂᵒʳʳʸ ⁱˢ ᵃ ʷᵒʳᵈ ᵗʰᵃᵗ ᴵ ᵈᵒⁿᵗ ᵃˡˡᵒʷ ᵐʸˢᵉˡᶠ ᵗᵒ ᵘˢᵉ✓
Mgonjwa SI mimi mkuu nahisi itakuwa hivyo anavaa boxer mbichiUnavaa boxer mbichi
Kanunue Candistat creamZinafanya magamba meusi mkuu
AhsanteTumia sonaderm
Ahsante MkuuKanunue Candistat cream
Matumizi ni kupaka mara mbili kwa siku kila unapomaliza kuoga.
Hakikisha siku zote;
1 .Huvai boxer mbichi
2. Jikaushe vizuri baada ya kuoga
3. Boxer ivaliwe kwa siku moja au ikiwezekana kwa masaa na sio mpaka inapiga weusi.
ᵂᵒʳʳʸ ⁱˢ ᵃ ʷᵒʳᵈ ᵗʰᵃᵗ ᴵ ᵈᵒⁿᵗ ᵃˡˡᵒʷ ᵐʸˢᵉˡᶠ ᵗᵒ ᵘˢᵉ✓
Okay okay. Chukua ile ndimu igonge kabla hujaikata mpaka iwe laini. Kisha kata, chukua kipande...jipake huku unaikamua kidogo kidogo sehemu husika. Kisha vuruga eneo lote. Tupa hicho kipande baada ya matumizi.Mkuu sijaelewa vizuri nielekeze
Hivyo vipande asubuh na jioni ni kwamba unapaka sehemu husika ama unakula!!
Ni jambo jema ulipona, lakini kipande cha ndimu/limao kikikaa zaidi ya dakika 5 baada ya kukatwa (kupasuliwa katikai) kinapoteza (kupunguza) uwezo wake, ni vyema kutumia ndani ya dakika 5 baada ya kukatwa, pengine ungepona mapema zaidi!Okay okay. Chukua ile ndimu igonge kabla hujaikata mpaka iwe laini. Kisha kata, chukua kipande...jipake huku unaikamua kidogo kidogo sehemu husika. Kisha vuruga eneo lote. Tupa hicho kipande baada ya matumizi.
Kile kingine kifunike vizuri. Utatumia jioni.
Sent using my Nokia Torch
Nenda kwa daktari wa ngozi,Samahan anaeweza kujuwa dawa ya kuzuia na kutibu kuwanywa na kunyauka kwa ngozi ya korodani, naombeni msaada maana nateseka sana na hii hali.
Hili sio tatizo kubwa jambo la kufanyaSamahan anaeweza kujuwa dawa ya kuzuia na kutibu kuwanywa na kunyauka kwa ngozi ya korodani, naombeni msaada maana nateseka sana na hii hali.
Basii Jitahid Kila Ukiingia Bafuni Unasafisha Kwanza Na Uani Pia Unasafisha Vilevile ....Niko smart sana,ila yawezekana bafu mahali hapa napoishi zikawa zina sababisha pia?
maana tupo wapangaji kibao na sina amani na bafu hizi
mkuu hii benzonic acid naipata pharmacy ???Basii Jitahid Kila Ukiingia Bafuni Unasafisha Kwanza Na Uani Pia Unasafisha Vilevile ....
Mambo Ya Kuchangia Sabuni na Mtu Usiyemfaham .. Jikaushe Vizur na Usivae Nguo za Kubana Saana Ili Hewa Ipite Vizur ... Swala la Usaf Ndo Mpango Mzima Kuna Dawa Inaitwa Benzoic Acid Unapaka Kila Ukioga Ila Inawasha Balaa