mafutamingi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,772
- 2,171
Jamani wana ukumbi nina tatizo la kuwashwa mwili na ninajikuna sana hasa kwenye mapaja na sehemu za siri kwa juu. Tatizo hili ninalipata hasa saa za usiku. Nimepima damu, choo na mkojo na nikaambiwa sina tatizo lolote. Naomba ushauri kuhusu tatizo hili