kisanganyakiswata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2014
- 1,295
- 543
Kuna jama yangu hilo tatizo Lina mtesa sana shida sio mdomo ila ipo tumboni
Pitia hizi thread kuna ya kujifunza kuhusu swala lako.Naomba kujua kuhusu dawa nzuri ya kutumia kwa mdomo kutoa harufu maana nasumbuliwa na tatzo hilo
Pole maana naijua shida yako.Naomba kujua kuhusu dawa nzuri ya kutumia kwa mdomo kutoa harufu maana nasumbuliwa na tatzo hilo
Naomba kujua kuhusu dawa nzuri ya kutumia kwa mdomo kutoa harufu maana nasumbuliwa na tatzo hilo
Hiyo dawa inaitwaje? Ungeweka hapa jina la dawa kwa manufaa ya wengi.Hilo tatizo lako hata me nilikuwa nalo but sa hv limeisha linasababishwa na dawa za mswaki tunazotumia whtdent clget na n.k kwan zina floride ukitaka kujua madhara yanayosababishwa na floride nenda YOUTUBE andika hivi EFFECT OF FLORIDE IN BODY ITAKULETEA VIDEO YA DK 10 dawa me niliuziwa elfu 13 kama utaitaji sana nchek kwa no 0683672508 tatizo halitajirudia tena.
Naweza nikakusaidia tiba ndugu yangu upambane na hiyo hali isababishwayo na uwepo wa bacteria. Piga mswaki kama kawaida, alafu ukimaliza nyunyuzia baking powder kwenye mswaki na upige tena mswaki. Utakuja kunipa mrejesho hapa.