Tatizo la kuwa na harufu mbaya kinywani (bad breath) - Chanzo, dawa za kuzuia na ushauri

Tatizo laweza kuwa sio kinywa tatizo linaweza kuanzia tumboni unakojaza vyakula visivyosagika kirahisi na matokeo yake vinaoza na kushindwa kutoka kwa njia ya haja kubwa hivyo unabaki kutembea na choo tumboni na harufu kutokea kinywani.

Kama unakula vyakula vigumu kusagika tumboni kama nyama na vyakula vyenye gesi nk.tafadhali acha sasa fanya hivi asubuhi kunywa maji ya uvuguvugu halafu ufanye mazoezi kidogo hata ya kuruka kamba baada ya muda utapata choo na mchana kula chakula chepesi na usiku baada ya muda hilo tatizo litaisha.

Pia nyama ngumu zinazonasa kwenye meno sometimes zinaoza na kusababisha hiyo shida possibly matatizo chanzo chake kinasababishwa na hayo mambo mawili.
hii sayansi duh hapana aisee
 
Lamba eneo la ngozi baada ya kiganja. Baada ya sekunde 5 panuse. Harufu utakayoisikia ndio wanayosikia wenzio ukiongea nao kwa ukaribu. Cku njema.
 
Ni tatizo ambalo linaninyima amani jaman kwa anaefaamu dawa ya kuzuia kabisa tusaidiane
Pole sana, Sugua kinywa chako vizuri na pia usugue ulimi ipasavyo.

Kuna majani fulani tulikuwa tunatafuna kijijini ni zaidi ya dawa ya meno ila sijui yanaitwaje na siwezi kuyaelezea.
 
Ni tatizo ambalo linaninyima amani jaman kwa anaefaamu dawa ya kuzuia kabisa tusaidiane
Wakati mwingine hilo tatizo husababishwa na tatizo la kutopata choo ipasavyo. Kunywa maji mengi ili kufanya mmeng'enyo wa chakula uwe rahisi na kuondoa tatizo la constipation, utapunguza au kuondoa kabisa tatizo lako.
 
Penda kuongea ongea sana mdomo hautanuka.

Otherwise piga mswaki vizuri sugua kila kona ya mdomo, ulimi, meno n.k kila baada ya mlo.

Ikifikia haja tumia mouth wash.
 
Ni tatizo linalonisumbua kwa mda mrefu hadi nakosa Amani naomba msaada nifaamu dawa
Ngoja kwanza. ID yako ya muda wote ni nani? Hii tabia ya kufungua ID mpya ina maana gani wakati hakuna anayekujua humu?

Ukijibu ndio nakuja kukupa ushauri.
 
Ukiamka asubuhi tafuna bi G aina ya gorilla kwa muda wa sekunde kadhaa,baada ya hapo kunywa maji kama glass moja au mbili then brush kinywa vzr na kwa usahihi (hiyo no asubuhi)

Jioni baada ya kula lamba lamba asali mbichi,kunywa maji ya kutosha,chokonoa meno vzr yasibaki mabaki ya chakula kwenye meno baada ya hapo brush kinywa kwa kutumia dawa ya maji yenye mint
 
Ndugu asante sana kwa ushauri wako japo ulikaa. Kijuujuu sana lakin umrnsaidia sana, ni jana nlienda duka la dawa nkanunua ant fungle moja inaitwa oromucoral gel ametimia asubuh kufika chana imepungua akatumia jioni yani leo asubuh anapumua hewa saafi kabisa yani jadi nimeshangaa kumbe kweli yalikuwa ma fungus. Kinywa saaaafi,
mkuu alipona kabisa huo ugonjwa wa mdomo?? Hilo tatizo halikurud tena baada ya mda ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom