Tatizo la kutokwa na uchafu ukeni- Pata ufafanuzi wa kina, ushauri na tiba ya tatizo hili

KingPin

Member
Jul 21, 2009
11
3
UFAFANUZI WA JUMLA WA TATIZO HILI
Hakika mapenzi ni matamu hakuna asiyelifahamu hili na mapenzi kwa kawaida hushirikisha vishiriki ngono kama kupapasana, kubusiana na hata mambo fulani ya kula koni na kuzama chumvini. Hakika uke ni sehemu muhimu sana ya mwanamke inayoweza kuamsha hisia za mwanamme wake ama kuzipoteza, kumthaminisha ama kumshusha thamani endapo mwanamke atashindwa kujiweka katika hali ya usafi ama kukabiliana na matatizo ya kutokwa na uchafu ukeni. Hivyo kwa kutambua hili leo nimeamua kuandika mada hii ili kuwasaidia wale wote wenye tatizo kama hili.

Kimsingi wanawake wote hutokwa na uchafu kidogo ukeni ambao ni mweusi kama maji, maziwa au njano ambao humfanya ama awashe au atowe harufu mbaya pale anaposhindwa kukabiliana na hali ya usafi wake. Hata hivyo, wanawake wengi kipindi cha ujauzito hukumbwa na hali hii mara kwa mara na huwashwa. Uchafu husababishwa na mambo mbalimbali ambapo mengi husumbua japo si hatari. Zifuatazo ni aina za uchafu ambao wengi huwakumba na jinsi unavyoweza kukabiliana na tatizo hilo.

Mwanamke aliye na tatizo la kutokwa na aina hii ya uchafu hujikuta ananuka na kujikuna sehemu zake za siri, na huu unawezekana kuwa ni ugongwa wa Trichomos kwani pindi anaposikia haja ndogo hujisikia kuchomwa sana na maumivu ambapo wakati mwingine hujikuta anavimba.

Uchafu wa aina hii huonekana kama picha kushoto inavyoonyesha hivyo mwanamke ambaye atakumbwa na tatizo kama hili ni rahisi kumfanya mpenzi wake apoteze hamu ya kushiriki naye tendo la ndoa na kama ni mpenzi basi huweza kujikuta kila kukicha anashindwa kudumu na mwanaume kwani hukimbiwa kutokana na kushindwa kwao kukabiriana na tatizo hilo.

Endapo una tatizo hili ni muhimu sana kuhakikisha unaweka viungo vya uke wako katika hali ya usafi wa kutosha, na ni vema unaposafisha uke wako uhakikishe unatumia maji ya uvuguvugu pamoja na siki au maji la limao yaliyochanganywa na maji ambapo unapaswa kutumia vijiko 3 vya siki kwenye maji lita moja yaliyochemshwa. Ni muhimu mgojwa asafishe uke wake mara moja hadi tatu kila siku mpaka apone!

Hata hivyi endapo tatizo hilo linakuwa kubwa, mgonjwa anapaswa kutumia dawa za kuchomeka ukeni ambazo zina metronidazole au dawa zingine zinazoshauriwa na trichomonas. Ikiwa hali mbaya sana anapaswa kumeza metronidazole kwa kiasi cha gram mbili [meza kwa mpigo].

Aidha, inawezekana kuwa mwanaume ana ugonjwa pia wa trichomonas ingawa hajisikii hali ya kuumwa hata kidogo hivyo endaapo mwanamke atarudiwa na ugonjwa huu mara baad a ya kujitibu basi anapaswa kurudia kumeza gram mbili za metronidazole, lakini ni kama ugonjwa huo mkubwa.

Hali hii inapojitokeza kwa mwanamke hujikuta anawashwa sana ukeni na midomo ya uke huwa na rangi nyekundu na huuma sana ambapo pindi mhusika napotaka kukojoa husikia maumivu makali sana. Hali hii huwakumba sana wanawake wajawazito pamoja na wale wenye ugonjwa wa kisukari, wale waliokuwa wakitumia antibiotics au vidonge vya kuzuia ujauzito.

Endapo una tatizo hili ni muhimu sana kuhakikisha unaweka viungo vya uke wako katika hali ya usafi wa kutosha, na ni vema unaposafisha uke wako uhakikishe unatumia maji pamoja na sikiau GV vijiko viwili kwa nusu lita au kutumia vidonge viwili vya nystatin vya kuchomeka ukeni au dawa nyingine ya thrush kama siyo kuweka maziwa mgando yaliyochachuka kwenye uke husemakana ni dawa nzuri ya kienyeji inayotibu tatizo hili.

Aina za uchafu wa ukeni usio wa kawaida
Kikawaida uke wa mwanamke una bacteria wa kawaida wazuri waishio katika tunda hilo kwa ajili ya ulinzi.

Kitu chochote kitakacho haribu uwiano wa bacteria wa kawaida waishio katika uke kinaweza kuleta mabadiliko katika rangi,Harufu, au muundo wa uchafu utakaotoka katika uke.

Uchafu wenye damu au rangi ya kahawia
Hi ni dalili ya mzunguko wa mwezi wa mwanamke uliovurugika na Mara chache ni dalili ya cancer ya servix au aina nyingine ya cancer iitwayo endometrial cancer. Mwanamke mwenye tatizo hili atatoa damu nyingi uken na kuumwa nyonga.

Uchafu wa njano au kijani wenye harufu mbaya
Endapo uchafu ukatoka kama mapovu,wenye rangi ya kijani au njano ukiambatana na harufu mbaya ,Hi ni dalili ya Trichomoniasis .Maambukizo ya (parasitic) yanayotokana na Ngono zembe.dalili ingine ni kuwashwa wakati wa kutoa haja ndogo.

Uchafu mweupe ,wa njano au kijivu wenye harufu ya samaki
Uchafu wa aina hii ni dalili ya maambukizi ya bacteria (vaginosis) .Mwanamke mwenye tatizo hili atasikia miwasho au maumivu ,kuvimba kwa uke au sehemu ya nje ya uke (vulva)

Uchafu wenye rangi ya mawingu au njano
Hi ni dalili ya ugonjwa wa kisonono (Gonerhea) mwanamke atatokwa na damu katikati ya Siku zake, Atatokwa na mkojo bila kukusudia na kupata maumivu ya nyonga.

Uchafu mweupe mzito kama jibini
Hi ni dalili ya maambukizi ya aina ya fungas (yeast infection)
Na dalili zingine atakazozisikia mwanamke huyu ni kuvimba na maumivu kwenye sehemu za nje za siri (vulva) Kuwashwa na maumivu wakati wa kufanya tendo la ndoa
===
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA KUHUSU TATIZO HILI

---
===
MAONI, UFAFANUZI NA USHAURI KUTOKA KWA WADAU

---
---
---
 
Ni nzuri, wakumbushe pia kutembelea madaktari wa wanawake mara kwa mara ili kupata mawili matatu kwenye nyanja nzima ya usafi wa mwili na hususani kiungo cha uzazi.

Tunakushukuru sana.
 
Hali majimaji meupe kama maziwa mgando kutoka uken husababishwa na nini? Je inaambukiza na kama ndiyo dalili zake ni zipi kwa mwanaume ? Madhara yake kwa mme na mke ni yapi na tiba yake? Naomben ufafanuz Madaktari.
 
soma post ya mzizi mkavu inahusu maambukizi ya fangus na tiba na dalili na madhara, almost everything
 


KUTOKWA NA UCHAFU UKENI​

Hakika mapenzi ni matamu hakuna asiyelifahamu hili na mapenzi kwa kawaida hushirikisha vishiriki ngono kama kupapasana, kubusiana na hata mambo fulani ya kula koni na kuzama chumvini. Hakika uke ni sehemu muhimu sana ya mwanamke inayoweza kuamsha hisia za mwanamme wake ama kuzipoteza,kumthaminisha ama kumshusha dhamani endapo mwanamke atashindwa kujiweka katika hali ya usafi ama kukabiliana na matatizo ya kutokwa na uchafu ukeni. Hivyop kwa kutambua hili leo nimeamua kuandika mada hii ili kuwasaidia wale wote wenye tatizo kama hili.....

Kimsingi wanawake wote hutokwa na uchafu kidogo ukeni ambao ni mweusi kama maji, maziwa au njano ambao humfanya ama awashe au atowe harufu mbaya pale anaposhindwa kukabiriana na hali ya usafi wake. Hata hivyo, wanawake wengi kipindi cha ujauzito hukumbwa na hali hii mara kwa mara na huwashwa. Uchafu husababishwa na mambo mbalimbali ambapo mengi husumbua japo si hatari. Zifuatazo ni aina za uchafu ambao wengi huwakumba na jinsi unavyoweza kukabiriana na tatizo hilo.

Uchafu wa majimaji wenye rangi mchanganyiko wa kijani na njano au nyeupe.
Mwanamke aliyena tatizo la kutokwa na aina hii ya uchafu hujikuta ananuka na kujikuna sehemu zake za siri, na huu unawezekanai kuwa ni ugongwa wa Trichomos kwani pindi anaposikia haja ndogo hujisikia kuchomwa sana na maumivu ambapo wakati mwingine hujikuta anavimba.

Uchafu wa aina hii huonekana kama picha kushoto inavyoonyesha hivyo mwanamke ambaye atakumbwa na tatizo kama hili ni rahisi kumfanya mpenzi wake apoteze hamu ya kushiriki naye tendo la ndoa na kama ni mpenzi basi huweza kujikuta kila kukicha anashindwa kudumu na mwanaume kwani hukimbiwa kutokana na kushindwa kwao kukabiriana na tatizo hilo.

Endapo una tatizo hili ni muhimu sana kuhakikisha unaweka viungo vya uke wako katika hali ya usafi wa kutosha, na ni vema unaposafisha uke wako uhakikishe unatumia majiya uvuguvugu pamoja na siki au maji la limao yaliyochanganywa na maji ambapo unapaswa kutumia vijiko 3 vya siki kwenye maji lita moja yaliyochemshwa. Ni muhimu mgojwa asafishe uke wake mara moja hadi tatu kila siku mpaka apone!

Hata hivyio endapo tatizo hilo linakuwa kubwa, mgonjwa anapaswa kutumia dawa za kuchomeka ukeni ambazo zina metronidazole au dawa zingine zinazoshauriwa na trichomonas. Ikiwa hali mbaya sana anapaswa kumeza metronidazole kwa kiasi cha gram mbili [meza kwa mpigo].
Aidha, inawezekana kuwa mwanaume ana ugonjwa pia wa trichomonas ingawa hajisikii hali ya kuumwa hata kidogo hivyo endaapo mwanamke atarudiwa na ugonjwa huu mara baad a ya kujitibu basi anapaswa kurudia kumeza gram mbili za metronidazole, lakini ni kama ugonjwa huo mkubwa.

Uchafu ambao uko kama jibini au siagi na unanuka kama uyoga au mkate.
Hali hii inapojitokeza kwa mwanamke hujikuta anawashwa sana ukeni na midomo ya uke huwa na rangi nyekundu na huuma sana ambapo pindi mhusika napotaka kukojoa husikia maumivu makali sana. Hali hii huwakumba sana wanawake wajawazito pamoja na wale wenye ugonjwa wa kisukari, wale waliokuwa wakitumia antibiotics au vidonge vya kuzuia ujauzito.

Endapo una tatizo hili ni muhimu sana kuhakikisha unaweka viungo vya uke wako katika hali ya usafi wa kutosha, na ni vema unaposafisha uke wako uhakikishe unatumia maji pamoja na sikiau GV vijiko viwili kwa nusu lita au kutumia vidonge viwili vya nystatin vya kuchomeka ukeni au dawa nyingine ya thrush kama siyo kuweka maziwa mgando yaliyochachuka kwenye uke husemakana ni dawa nzuri ya kienyeji inayotibu tatizo hili.

Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
 
KUTOKWA NA UCHAFU UKENI PART 2


Uchafu mzito ulio kama maziwa na wenye harufu mbaya
Huu unawezekana kuwa ugonjwa [uke huwa kama picha inavyoonyesha]unaosababishwa na chembechembe ambazo huitwa haemophilus. Uchunguzi maalum unahitajika ili kupambanua ugonjwa huu na trichomonas. Safisha uke kwa siki na maji kama nilivyosema katika sehemu ya kwanza ya mada hii, lakini unapaswa pia kutumia vidonge vyakuchomeka kwenye uke vya sulphathiazole mara mbili kutwa kwa wiki 2.


Ugonjwa huu unapompata mwanamke kwanza kabisa hukosa amani hata ya kukutana na mwenza wake na hasa kama mwenza huyo ni mtundu katika mambo fulani ya vishirikishi ngono yaani halianzishi hadi apime oil na kuzama chumvini. Hivyo mwanamke yoyote mwenye tatizo hili ni vema asilipuuziye kwa kuamua kushiriki tendo bila kupata tiba hata kama utajisafi vipi.

Uchafu wa majimaji mweusi au rangi ya kijivujivu ambao una damu na harufu mbaya
Mwanamke mwenye ugonjwa huu huwa amefikia hatua mbaya zaidi kwani yawezekana tayari kansa ikawa imeshamtafuna katika maumbile yake ya uke. Hata hivyo kansa sehemu za uke mara nyingi huwapata wanawake walio na umri zaidi ya miaka 40, na dalili ya kwanza inaweza kuwa ni upungufu wa damu mwilini au kutumia hedhi isiyo ya kawaida na kujisikia uzito au kuona uvimbe wenye maumivu katika kinena [kama una hali hii nenda kamuone daktari haraka].

Ugonjwa huu pia huambatani ambapo mtu akipatwa na homa anaweza nkunjwa dawa za kuua vijidudu au kumuona dk.

KIMSINGI: mwanamke yoyote yule ambaye anasumbuliwa na uchafu wa muda mrefu na hata akiutibu haupunguwei licha ya kufanya matibabu ya awali kama nilivyobaibisha hapo juu anapaswa kwenda kumuona daktari.

MUHIMU!

Mwanamke yoyote yule anaweza kuepuka magonjwa mengi ya ukeni endapo atafanya haya yafuatayo:-

Kuweka viungo vya uke wake katika hali ya usafi.
Mwanamke wakati anaogo anatakiwa kuhakikisha anasafisha vema uke wake kwa kutumia maji na sabubi na si kupuuzia kwa kujipapasa tu maana kuna wengine hujifanya kuona kinyaa yaani ataoga kote kisha huko anapanguza na toilet pepar kisha biashara imeisha hii ni mbaya, hivyo hata kama ukiwa kwenye baridi ama ukame wa maji hakikisha hulali bila kusafisha uke wako!

Kojoa baada ya kukutana na mwanaume
Hii ni kwa wale ndugu zangu wanaokwenda uwanja wa taifa kucheza mechi na kushuka dimbani pasipo kuwa na jezi yaani wao ni peku peku sasa wengine wakimalzia tu mechi huinuka kisha kujifuta na toilet paper na kujisafisha kidogo kisha hao wanakamata chupi na kuvaa huku akisindikiza na katoilet peapr chini yaani anaiweka kama vile awekavyo pedi, sasa hii ni hatari kwa majongwa kama niliyoyaeleza kwenye mada zangu.

Hakikisha umejipangusa au kujitawaza vizuri baada ya kwenda choo.
Mwanamke naamini anajua jinsi ya kujisafisha kwani zoezi hili hufundishwa tangu wakiwa wadogo lakini kama haujui ni vema ukajiswafi yaani kujipangusa kutoka mbele kwenda nyuma kwani kujipangusa kwa kwenda mbele husababisha mikroba, ameba au minyoo kwenye uke.Mashosti: KUTOKWA NA UCHAFU UKENI PART II
 
Kuna binti mrembo wa haja maringo meeeeeeengi.

Baada ya kumpigia misele sana, alikubali. Siku ya kwenda kula tunda la mti wa kati nilihisi kutapika! Baada ya kuwasha gari kama dakika 5 hivi, ulianza kutoka utando mweupe kama vile mtoto mchange amecheua au matapishi ya kuvimbiwa "maziwa mgando".

Huo uchafu ulikuwa unanuka (harufu mbaya). Yeye alidai kwamba alikuwa hajapata hiyo kitu siku nyingi sana.

Nilipokutana naye baada ya siku kadhaa, hali ya uchafu ni ule ule!

Kuna jamaa wameniambia inawezekana huyo shi anatumia panadol wakati wa siku zake. Nilipomuuliza binti amekataa matumizi ya panadol.

Kwasasa huo uchafu haunuki ila upo!!

Hii kitu inasababishwa na nini?
 
da? mkuu nafikiri unge geukia upande wa pili kwa doctor maana hapa si maala pake.
 
Nifangasi kaka wala isikupeshida, ila sasa anatakiwa kumuona daktari, kuna dawa atampa za kudumbukiza ndani. Hilo hata Mimi nshawahi kukumbana nalo.

Huwa unachuruzika kama uji vile. Pole sana.
 
Aisee!! Mngeenda hospitali pia kujua shida ni nini inawezekana na Infenctions

Ila kama hauna harufu inaweza kuwa normal nadhani kitu muhim awe anajisafisha vizuri huko chini.

wakisema mwanamke usafi sio kupaka wanja na shedo jamani ni pamoja na kujiswafi maungo yetu.

ukiwa wajisafisha shurti kidole kiingie mle ndani kwa ufasaha na utaona hata K inatyt kabisa baada ya kujiswafi.
 
Kwani mkuu kifo wewe utakikwepa??

....Kipi sasa, maana #Kifo au #Vifo vipo vya aina nyingi, kifo cha
#UtandoMweupe pia ni aina mojawapo ya Kifo.

In-short nataka tu kukwambia Kifo hakikwepeki, lakini aina ya kifo
ni #chaguo lako either kwa Makusudi au Bahati mbaya.
 
[QUOTaE=ntogwisangu;8005089]Njoo na jukwaa la siasa,achana hizi habari!!Umesikia ya Pinda na Mshahara wake?[/QUOTE]

Shabashiiii! unachanganya habari siyo..?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…