....na hapo hajasema kama alipeleka mdomo na ulimi ujue!
mnh, watu kwa #Yoghurt!
Njoo na jukwaa la siasa,achana hizi habari!!Umesikia ya Pinda na Mshahara wake?
yorghut wala kuimba kwa MIC hatuendagi hivi hivi ndo maana watu wanatapika na kuharisha
hadi kulazwa...........ile kitu inatakiwa iwe safi
Inabidi ujifunze tena "ilimu" ya VVU.
Kwa taarifa yako: mimi na yeye tumepima. Wote ni "hasi", wewe je?
Kuna binti mrembo wa haja maringo meeeeeeengi.
Baada ya kumpigia misele sana, alikubali. Siku ya kwenda kula tunda la mti wa kati nilihisi kutapika! Baada ya kuwasha gari kama dakika 5 hivi, ulianza kutoka utando mweupe kama vile mtoto mchange amecheua au matapishi ya kuvimbiwa "maziwa mgando".
Huo uchafu ulikuwa unanuka (harufu mbaya). Yeye alidai kwamba alikuwa hajapata hiyo kitu siku nyingi sana.
Nilipokutana naye baada ya siku kadhaa, hali ya uchafu ni ule ule!
Kuna jamaa wameniambia inawezekana huyo shi anatumia panadol wakati wa siku zake. Nilipomuuliza binti amekataa matumizi ya panadol.
Kwasasa huo uchafu haunuki ila upo!!
Hii kitu inasababishwa na nini?
wafunde wafunde waelekeze na vifaa vya usafi looo! kazi kweli kweli.
Yaani nimetizama hiyo avatar yako, nikakupa umbo halafu nikawa 'nakuona' namna unavyojiswafi kwa kidole! Usijali lakini ni imaginations tu za sie wanaume.
hahahahah, astaghafirullah... SMU mswalie mtume bana, kha?!
Sheikh...haya ya kupita tu!