fukunyungu
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 717
- 194
Habari za leo wana jukwaa, mtoto wangu ana umri wa miaka mitatu ana tatizo la choo kugoma, inaweza kumchukua siku tano mpaka saba anakosa kabisa choo na pindi anapopata kinakua kugumu sana mpka huwa analia sana, anateseka sana kama ukimwona, naombeni msaada wa mwenye kuelewa solution ya hili tatizo.