Nakushauri nenda tu ukamuone daktari akuchunguze afya yako maana tatizo lako linaweza kuwa linasababishwa na vitu vingi? kama vile aleji ambayo inaweza kukufanya uwe unakohoa kikohozi kikavu, au magonjwa mengine pia yanaweza kusababisha hali hiyo.
ila kwa msaada pendelea kunywa maji mengi sana kila siku ambayo yana joto la kawaida, penda pia kula matunda yatakayokuongezea vitamini C na kuepukana na mavumbivumbi, ikibidi chumba unacholala hakikisha kina usafi wa kutosha kama ni mpenzi wa makapeti ya ndani basi hakikisha yanakuwa safi ili kupunguza vumbi.
by the way pole sana na tatizo linalokusumbua.