Tatizo la kukaukiwa koo/mate kinywani

Acheni umburura...dalili za magonjwa mengi zinafanana. Inawezekana ikawa typhoid na UTI pamoja.
 
Asante napenda kujua kama ni ugonjwa au dalili ya ugonjwa
Mkuu, pole sana. Inawezekana una ugonjwa wa kisukari type 2. Yani una upungufu wa hormone inayoitwa ADH au antidiuretic hormone. Hii ni hormone inayohusika na water reabsoption kwenye figo... Sasa kunapokuwa na upungufu wa hii homoni, figo inapungua ufanisi katika kunyonya maji na kuyarudisha kwenye damu hivyo mwili unakuwa na upungufu wa maji na kukufanya kusikia kiu kali hadi kukaukiwa koo.
alternatively
Matumizi ya kupita kiasi ya vinywaji vya energy drink pia husababisha tatizo la kusikia kiu au kukaukiwa koo... So its any of the two...
 
Mkuu, pole sana. Inawezekana una ugonjwa wa kisukari type 2. Yani una upungufu wa hormone inayoitwa ADH au antidiuretic hormone. Hii ni hormone inayohusika na water reabsoption kwenye figo... Sasa kunapokuwa na upungufu wa hii homoni, figo inapungua ufanisi katika kunyonya maji na kuyarudisha kwenye damu hivyo mwili unakuwa na upungufu wa maji na kukufanya kusikia kiu kali hadi kukaukiwa koo.
alternatively
Matumizi ya kupita kiasi ya vinywaji vya energy drink pia husababisha tatizo la kusikia kiu au kukaukiwa koo... So its any of the two...
Duuh
 
KUKAUKA MATE.Daah pole sana mkuu sipati picha na kipupwe hiki kinachokuja,utakomaje.
Kawaone wataalamu wa kinywa mkuu utapata ushauri na tiba kama ni ugonjwa.
POLE SANA

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom