Embesha
New Member
- May 9, 2021
- 2
- 0
Tafadhali msaada nimekuwa nikisumbuliwa na makohozi mazito katika Koo yamegandamana katka Kuta za koo.
Napata shida sana naaibika mbele za watu nimazito sana.
Niko Arusha test gani nifanye au hospital gani niende kupata msaada au dawa gani nitumie kuondoa mucus hii.
Napata shida sana naaibika mbele za watu nimazito sana.
Niko Arusha test gani nifanye au hospital gani niende kupata msaada au dawa gani nitumie kuondoa mucus hii.