Nasumbuliwa na Makohozi mazito katika koo

Embesha

New Member
May 9, 2021
2
0
Tafadhali msaada nimekuwa nikisumbuliwa na makohozi mazito katika Koo yamegandamana katka Kuta za koo.

Napata shida sana naaibika mbele za watu nimazito sana.

Niko Arusha test gani nifanye au hospital gani niende kupata msaada au dawa gani nitumie kuondoa mucus hii.
 
Tafadhali msaada nimekuwa nikisumbuliwa na makohozi mazito katika Koo yamegandamana katka Kuta za koo.

Napata shida sana naaibika mbele za watu nimazito sana.

Niko Arusha test gani nifanye au hospital gani niende kupata msaada au dawa gani nitumie kuondoa mucus hii.
Nenda Hospitali karibu yako ukamuone Daktari hiyo ni Mucus inakusumbuwa usipo pona na dawa za hospitali nitafute mimi kwa wakati wako ili nipate kukutibia upate kupona maradhi yako uguwa pole.
 
Tafadhali msaada nimekuwa nikisumbuliwa na makohozi mazito katika Koo yamegandamana katka Kuta za koo.

Napata shida sana naaibika mbele za watu nimazito sana.

Niko Arusha test gani nifanye au hospital gani niende kupata msaada au dawa gani nitumie kuondoa mucus hii.
Habari yako Mkuu?pole sana nenda karibu na hospitali unapo ishi ukatibiwe usipo pona nitafute mimi kwa What's ap namba yangu ni +905013460377 ili nipate kukutibia upate kupona maradhi yako uguwa pole.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom