Mkuu nadhani kuna tatizo dhahiri ambalo wanapaswa kutujulisha wateja wao. Otherwise ni uhuni at its best....Hawa jamaa (Azam) siku zao zinahesabika (Wako ukingoni) Fitina za awamu hii hazitamuacha tajiri yeyote salama.
Asante kwa ushauri mujarabu/maridhawa ngoja nikimwagie castle rite bariiiiiidiKimwagie Azam juice naisi kina njaa tu icho...[emoji41]