Luka 11:24-26Amen nimajaribu kwenye maombi ila huwa vinatulia na baadae kurudi (hali ya kuwashwa)
Naona Majini mnaitana.
Kama nimekuelewa jinsi ulivyo andika. Unajihakikishia unalo tatizo la jini mahaba?habari wana jukwaa,
Natumai sote ni wazima wa afya njema, na poleni kwa wenye changamoto za aina mbali mbal...
Ndo yeye au?
Wacha weeeee!!!! Anajishtaki kwa msukule sasa! Kama kuoga si akaende bafuni akaoge!Maombi ndio njia pekee...
Anza kwa Toba na rehema..
Soma Zaburi 51...
Omba kwa kumaanisha,
Sali hivi, Yesu ninajiosha kwa damu yako takatifu, ninaomba Toba na rehema kwa ajili ya zinaa niliyofanya unataja majina ya wanawake au wanaume, naomba unirehemu na kuniosha kwa damu na dhambi hii ya zinaa, ninavua vazi hili zinaa kwa damu ya YESU
Omba Kila siku mpaka utakapoona huoni hali hiyo Tena...
Chumvi bila Imani ni bureUsisahau kuogea chumv y madonge.
Kabisa mkuu yaani hapo apige kitimoto akirudi home piga bangi kete 2 alale, jini mahaba likimtokea likitaka mkuyenge alipige mpaka tigo hapo halitarudi tenaNasikia majini hayapendi vitu haramu aanze kula kitimoto kama hali,na kama jini litakuwa bishi itabidi aanze kuvuta bangi ili kulichanganya kabisa halitakaa limsahau kwa jambo atakalolifanya kwa kulivutisha bangi..!
Ndugu, umri wako ulipofika, unachowaza ndicho kinachotokea, acha uzembe wa kufikiria,, sijui majini, achaaaaa, Badirisha mtazamo wako wa maisha. Aliwazalo mjinga ndio linalomtokea. Chukua ushauri huo.Hahaha ni serious mkuu, sasa kuoga miaka 12 almost ni kweli siogi nikatakata?
Acha nijaribu pia ushauri wako mkuu
Yaaani kumbe na we wale wale. Akishindwa atuite tumusaidie. Hayo tunayapigaga miti kishenzi na hayachomoki bila mimba. Nashangaa analalamika yeyeKabisa mkuu yaani hapo apige kitimoto akirudi home piga bangi kete 2 alale, jini mahaba likimtokea likitaka mkuyenge alipige mpaka tigo hapo halitarudi tena
Si alishaamua kuichukua mkononi?Ndugu, umri wako ulipofika, unachowaza ndicho kinachotokea, acha uzembe wa kufikiria,, sijui majini, achaaaaa, Badirisha mtazamo wako wa maisha. Aliwazalo mjinga ndio linalomtokea. Chukua ushauri huo.
Tatizo mimi ndio naliona, sijakuelewa unavyosema niache uzembe wa kufikiri na mtazamo nabadilishaje na bado mwili una shida?Ndugu, umri wako ulipofika, unachowaza ndicho kinachotokea, acha uzembe wa kufikiria,, sijui majini, achaaaaa, Badirisha mtazamo wako wa maisha. Aliwazalo mjinga ndio linalomtokea. Chukua ushauri huo.
Haya unajini mahaba. Subiri watu wa uchawi waje.Tatizo mimi ndio naliona, sijakuelewa unavyosema niache uzembe wa kufikiri na mtazamo nabadilishaje na bado mwili una shida?
Sasa hapo umeshauri nn Mkuu au umenukuu alichosema.?Bosi hakikisha unaoga vizuri, utakua huogi wewe, alafu ndoto, sababu zake huwa ni mawazo yako, na matendo yako ya kila siku, yaani wwe uwe unapenda matako, mara matamanio, usiote ndoto hizo.
Hamna mahaba sijui jini wala mkata kamba, oga vizuri, tafuta mwanamke ukae nae ndani.
Mtoto kuumwa pia inategemea na mazingira yake. Mtunze mwanao huyo.