Nimeshafanya hivyo mkuu ila kuna mdau alinigusia na swala la troubleshooting sijui hii inafanyikaje?Unstall mozila try again to install, ikibuma install opera or chrome altenativelly
Hukuwahi install any VPN software?Unstall mozila try again to install, ikibuma install opera or chrome altenativelly
hapo inaonekana kuna proxy kwenye setting nenda kwenye internet option na toahizo proxy kwenye connection zote weka blankHabari wadau?? PC yangu inasumbua internet nikiconnect kwa kutumia modem au simu, connection inakubali shida inakuja nikifungua hata Mozilla ili nisearch inaandika problem loading. Natatuaje hilo tatizo wadau?
kwenye control panelHiyo internet option naipata sehemu gani mkuu?
At least mkuu inaweza hata kufungua neno google shida ni kwamba siwezi kuendelea baada ya hapo nikitaka kusearch kitu chochote inaniletea haya maelezokwenye control panel
View attachment 964169
kama kuna proxy kama hizo au nyingine zozote kwenye connection yoyote iwe dial up au cellular or whatever zitoe usi mark kwenye kutumia proxy
Rekebisha tarehe mkuuAt least mkuu inaweza hata kufungua neno google shida ni kwamba siwezi kuendelea baada ya hapo nikitaka kusearch kitu chochote inaniletea haya maelezo View attachment 964209
Firefox huwa haingiliani proxy na system, ina proxy zake za kujitegemeakwenye control panel
View attachment 964169
kama kuna proxy kama hizo au nyingine zozote kwenye connection yoyote iwe dial up au cellular or whatever zitoe usi mark kwenye kutumia proxy
ni kweli, but in case anatumia chrome au operaFirefox huwa haingiliani proxy na system, ina proxy zake za kujitegemea
fanya kama chief alivyosemaAt least mkuu inaweza hata kufungua neno google shida ni kwamba siwezi kuendelea baada ya hapo nikitaka kusearch kitu chochote inaniletea haya maelezo View attachment 964209
Hiyo Windows ni mpya !?At least mkuu inaweza hata kufungua neno google shida ni kwamba siwezi kuendelea baada ya hapo nikitaka kusearch kitu chochote inaniletea haya maelezo View attachment 964209
Kama tarehe ipo sawa reset network adapter.Tarehe ipo sawa mkuu
Nimeshafanya hivyo mkuu ila kuna mdau alinigusia na swala la troubleshooting sijui hii inafanyikaje?
Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app