hzo cmu co znamatatzo co huku 2 ht mbele wanalalamika kuhusu swala la net nlioona kwenye coment za wa2 kwenye web flan hivi pole xana bt kwa vda nasikia znakubl
yah ni kweli simu za asha zilivosetiwa inakua automatic ukieka line ya simu setting zinakaa (hii ni bora kuliko kuunga)
Tatizo linakuja kwenye mtandao usiojielewa mfano tigo, i hope hata muuliza swali unatumia tigo kwenye asha yako hawa tigo setting zao za asha haziconect net na hata uwapigie hawarekebishi mimi kuwaungia simu za asha natumia prov
Muuliza swali kuna thread humu ya nyasiro amezieka prov nyingi tu utachotakiwa idownload kwa simu nyengine then jitumie kwa bluetooth ukishindwa nambie mimi ntakutengenezea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.