Tatizo la intanet kwenye galaxy s3

Tatizo la intanet kwenye galaxy s3

HPC 1

Member
Joined
Jan 7, 2014
Posts
83
Reaction score
25
Habari zenu waungwana ninatatizo na simu yangu aina ya galaxy s3. Tatizo lipo katika maswala ya intanet enabling kuna kipindi simu inagoma kujiunga na intaneti na hata kitufe cha mobile data kinakuwa kimeback off japo kuwa nimekiweka on. Simu inatumia android 4.1.2 naomba msaada wenu kwenye hili.
 
Hata mie simu yangu ni galaxy s3..mwanzoni nilipoinunua ilikuwa poa kabisa lakini kadri siku zilivyokuwa zikienda imekuwa very slowly..imenibidi nitafute Htc window naona window phone ziko poa kwenye internet kuliko hiyo s3
 
Habari zenu waungwana ninatatizo na simu yangu aina ya galaxy s3. Tatizo lipo katika maswala ya intanet enabling kuna kipindi simu inagoma kujiunga na intaneti na hata kitufe cha mobile data kinakuwa kimeback off japo kuwa nimekiweka on.

Simu inatumia android 4.1.2 naomba msaada wenu kwenye hili.[/QUOTE

Jaribu Customized Roms ila ki ukweli S3 zna faulty ya network.. Hiii hata wao wanafahamu.
 
hiyo inaweza kuwa ndio suluhisho la tatizo lake,,'''''Jaribu Customized Roms''''

Ok asante kwa ushauli japo sina utalaamu wa namna ya kubadili roms nitatafuta wataalamu wanisaidie.....
 
Go to seeting> more network> mobile network> access point name> name weka vodacom na APN weka internet kwenye proxy futa zote ibaki not set... ikikuzingua ni PM.pia allow mobile data...

Pia weka MB zakutosha usije kulia vivocha vyako mkuu!
 
Mrejesho hayo yote nimefanya mkuu inafanya kazi sawa lakini kuna mda bado inakuwa inagoma kufungua internet.
 
Naomba Msaada juu ya ili tatizo lasimu yangu samsung s3 i9300 not registered on network wa kuu
 
Mrejesho hayo yote nimefanya mkuu inafanya kazi sawa lakini kuna mda bado inakuwa inagoma kufungua internet.

Ikizidi kukuzingua uwe uabadilisha kwenye access point names, kama ni vodacom wap basi unabadilisha kua vodacom internet and vice versa. Mi hua nafanya hivyo na simu yangu ni fast sana kwenye net, na ni i9300 kama ya kwako.

Wakat mwingine ukiona net inazingua unazima na kuwasha au unaweka flight mode on afu unaiondoa after a few seconds. Fanya hivyo afu unipe mrejesho.

Ila, 4.1.2? Mbona hujai upgrade?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom