Tatizo la Hotspot

Tatizo la Hotspot

cyma

Senior Member
Joined
Mar 25, 2013
Posts
136
Reaction score
210
Hope mko poa wadau,
Naomba msaada kwa anaejua hili tatizo kwenye simu yangu ya Android,Infinix Hot S3. ni kwamba nikiwasha Hotspot ili niweze kushare internet kwenye computer yangu au hata device nyingne haikubali . kwenye computer inaandika inaonesha connected lakin No internet . kwenye cm natumia internet kama kawaida .
nimejaribu ku update androind inanambia iko up-to-date.
kwa yyte mwenye kujua tatizo tafadhal msaada. nashindwa kudownload movie kwenye PC.


Sent using MyPhone
 
Infinix sio simu. Usipoteze muda.
Hope mko poa wadau,
Naomba msaada kwa anaejua hili tatizo kwenye simu yangu ya Android,Infinix Hot S3. ni kwamba nikiwasha Hotspot ili niweze kushare internet kwenye computer yangu au hata device nyingne haikubali . kwenye computer inaandika inaonesha connected lakin No internet . kwenye cm natumia internet kama kawaida .
nimejaribu ku update androind inanambia iko up-to-date.
kwa yyte mwenye kujua tatizo tafadhal msaada. nashindwa kudownload movie kwenye PC.


Sent using MyPhone

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna sehemu ya settings (nimeisahau) unaseti speed ya internet unayohitaji kushare na hiyo device nyingine sasa kinachotokea hiyo settings huenda umeshusha mpaka zero. Hii iliwahi nitokea.

Pia simu yako umeweka firewall? izime au weka ticki kwenye internet sharing.

Au wataalamu zaidi waje Chief-Mkwawa
 
Hope mko poa wadau,
Naomba msaada kwa anaejua hili tatizo kwenye simu yangu ya Android,Infinix Hot S3. ni kwamba nikiwasha Hotspot ili niweze kushare internet kwenye computer yangu au hata device nyingne haikubali . kwenye computer inaandika inaonesha connected lakin No internet . kwenye cm natumia internet kama kawaida .
nimejaribu ku update androind inanambia iko up-to-date.
kwa yyte mwenye kujua tatizo tafadhal msaada. nashindwa kudownload movie kwenye PC.


Sent using MyPhone
Ulikua unaweza ku connect na kutumia hotspot kwenye hiyo computer before?

Looks like hiyo computer ina static IP, ndio maana unaona una connect lakini huwezi kupata access. Angalia WiFi adapter IP settings inatakiwa kuwa dynamic (obtain IP address automatically)

Masaihost.com
Web designing and Web hosting solutions
 
Ulikua unaweza ku connect na kutumia hotspot kwenye hiyo computer before?

Looks like hiyo computer ina static IP, ndio maana unaona una connect lakini huwezi kupata access. Angalia WiFi adapter IP settings inatakiwa kuwa dynamic (obtain IP address automatically)

Masaihost.com
Web designing and Web hosting solutions
nilikuwa na access vizur tu before na kote huko nimechek, DHCP automatic. na pia device yyte hata nikijaribu kurusha kwenye cm ya jamaa yyte haikubali. ila local inakubali fresh tu.

Sent using MyPhone
 
Back
Top Bottom