Tatizo la iCloud kwenye iPhone 4s, naomba msaada

Tatizo la iCloud kwenye iPhone 4s, naomba msaada

apple id inaweza kutoka ina inahitaji umakini wa hali ya juu mfano iphone 4 inawezekana kabisa kutoka na ipad zenye sehemu ya kuweka lini kuna baadhi ya server za kubypass icloud kupitia hii unaweza kuona apple id yake na ukaweza kutoa nyingi zinaitaji donation ya $5 hii wanachofanya kwenye server wana crash setup.app ndio utaweza kubypass au kutoa kabisa kama utaweza kureplace hii inaitaji tools nyingi kidogo pia iko nyia ya hardware unatoa baadhi ya resistor ambazo zitachange board id yaan kuchane ipad identity itakuwa wi-fi ipad na sio 3g tena hii mimi nimeshafanya kwenye ipad 2 3g nankafanikiwa pia kunazingine za wizi lakini hazina pass code ila zina icloud pia unaweza kuturn off find my iphone or ipad device kama ikiwa ios 7-8.1 kama ni zaidi ya hapo itabidi ndio kazi labda kama huyu mtu ameijailbreak ili upate root access kuna code unafuta then find my iphone or ipad itajiturn off pia hata kama inapasscode pia unaweza kubypass

Hata mimi nimesikia kuhusu hizi server ila hazikai muda mrefu zinafungwa
 
ndugu.kama yako umefungua naomba na mimi unisaidie
Brother, kama nilivyoeleza hapo juu, sikuwa TZ wakati nilipofanikiwa kui unlock. Isipokuwa mchakato uliotumika ni kwamba fundi ali contact na server fulani akaweza kui unlock hiyo Apple ID lock.
 
Apple wenyewe walisema hivii nawanukuu "Hata ukienda makao makuu na risiti original kwamba wewe ndo mmiliki halali wa simu tajwa, Endapo imelokiwa kwenye icloud hata wao hawana uwezo wa kuifungua, The only person ni yule huyo aliyefunga ndiye mwenye uwezo wa kuifungua

Alternative:
Kuna jamaa wangu tuliwai kuifungua simu (Aliinunua ikiwa na icloud (Ya wizi) na mchezo ulikua kama ifuatavyo: kwanza kabisa ile simu ilikua bado ina line so tuliweza kuijua namba ya mwenye simu, username (Ambayo ilikua ni mail ya gmail alikua ametumia jina lake halisi (Mfano jmagidi@gmail.com, tulichokifanya tulitafuta details zake kisha tukapiga simu customer care na kufanikiwa kufanya replacement ya ile namba yake (Tukawa nayo sisi) kisha tuka login email yake na ku prompt forget password button kisha tukachagua reset codes kuja kwenye mobile number yake, zile code tukazitumia ku reset email password yake, baada ya hapo tukaingia www.icloud.com kisha kwa kutumia forget password button wakatuma reset password link kuja kwenye email yake, tuka reset password tukafungua simu, ilikua iphone 5s na jamaa aliinunua Tshs 50,000.

ikitokea mtu anatumia gmail kama icloud username, reset password ameset code zitumwe kwenye phone number yake, na email adress yake ni vifupisho vya jina lake simu unafungua bila chenga, But hadi itokee hivyo ni nadra na bahati nasibu.
 
Apple wenyewe walisema hivii nawanukuu "Hata ukienda makao makuu na risiti original kwamba wewe ndo mmiliki halali wa simu tajwa, Endapo imelokiwa kwenye icloud hata wao hawana uwezo wa kuifungua, The only person ni yule huyo aliyefunga ndiye mwenye uwezo wa kuifungua

Alternative:
Kuna jamaa wangu tuliwai kuifungua simu (Aliinunua ikiwa na icloud (Ya wizi) na mchezo ulikua kama ifuatavyo: kwanza kabisa ile simu ilikua bado ina line so tuliweza kuijua namba ya mwenye simu, username (Ambayo ilikua ni mail ya gmail alikua ametumia jina lake halisi (Mfano jmagidi@gmail.com, tulichokifanya tulitafuta details zake kisha tukapiga simu customer care na kufanikiwa kufanya replacement ya ile namba yake (Tukawa nayo sisi) kisha tuka login email yake na ku prompt forget password button kisha tukachagua reset codes kuja kwenye mobile number yake, zile code tukazitumia ku reset email password yake, baada ya hapo tukaingia www.icloud.com kisha kwa kutumia forget password button wakatuma reset password link kuja kwenye email yake, tuka reset password tukafungua simu, ilikua iphone 5s na jamaa aliinunua Tshs 50,000.

ikitokea mtu anatumia gmail kama icloud username, reset password ameset code zitumwe kwenye phone number yake, na email adress yake ni vifupisho vya jina lake simu unafungua bila chenga, But hadi itokee hivyo ni nadra na bahati nasibu.


nimekuelewa mkuu ss mi id ninayo ya icloud pia tarehe ya kuzaliwa na namba ninazo ila kaz ,na nk ambazo wanauliza ndio sina msaada hapo
 
Icloud ndio kitu kilichonivutia iphone abt security issue but tafuta mtu mwenye id yake ya i cloud kma atakuamini coz iphone inapokea i cloud user hadi watatu
 
ebay wanadai wanaweza ebu wadau pitien eBay muone he no keel wanaweza
 
Icloud ndio kitu kilichonivutia iphone abt security issue but tafuta mtu mwenye id yake ya i cloud kma atakuamini coz iphone inapokea i cloud user hadi watatu

Unamaanisha nin mkuu kutafuta mtu mwenye app ID
Unamanisha naweza kufungua I cloud kwa kutumia App ID?
 
Back
Top Bottom