Tatizo la iCloud kwenye iPhone 4s, naomba msaada

Tatizo la iCloud kwenye iPhone 4s, naomba msaada

Kigger

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
870
Reaction score
814
Nina iphone4s ilizingua icloud ikabidi niirestore nilivo kamisha kuirestore bado inataka ile id ya mwanzo msaada hapo kwa naweza kufanikisha ili?
 
Si uweke hiyo ID au ulinunua kwa mtu?
 
hapo ndio movie ya iphone yako inapoanzia...kama hauna icloud_id kanunue nokia torch iyo izime iweke ndani
 
Wakuu kuna mdogo wangu kaibiwa ipad ofisini,je anawezaje kuipata?
 
hapo ndio movie ya iphone yako inapoanzia...kama hauna icloud_id kanunue nokia torch iyo izime iweke ndani

Dah! unanikatisha tamaa naweza kupata muafaka ila naona ebay wanatoa iyo icloud sema nafatilia nione kama ni kwel.
 
Nina iphone4s ilizingua icloud ikabidi niirestore nilivo kamisha kuirestore bado inataka ile id ya mwanzo msaada hapo kwa naweza kufanikisha ili?

Mkuu naiona dalili ya iphone yako kugeuka toy la kuchezea

Umesema umeinunua kwa mtu, nani? Una mawasiliano naye? Maana huyu pekee ndio ana ufunguo wa wewe kuifungua hiyo iphone

Hakuna ujanja wowote utakaofanya ku baypass hiyo stage hadi uwe na Apple id iliowekwa kwenye hiyo iphone

Kila siku tunasikia na kusoma ukiuziwa iphone na mtu lazima aitoe hiyo makitu na wewe uweke yako, na kama ikitokea ameisahau au huwezi kuipata kwa namna yoyote basi hakikisha hauifanyii simu yako update wala factory reset

Find that Id
 
Nina iphone4s ilizingua icloud ikabidi niirestore nilivo kamisha kuirestore bado inataka ile id ya mwanzo msaada hapo kwa naweza kufanikisha ili?
Kama bado inakusumbua ni PM nkuunganishe na mtu anayeweza kutoa hizo mambo
 
Utaishia kupigwa hela tu. icloud issue nzito.mtafute seller akupe id n password.
 
Kama bado inakusumbua ni PM nkuunganishe na mtu anayeweza kutoa hizo mambo

Mkuu nina iphone za watu zaidi ya kumi wanahitaji kutoa hii kitu
Nimehangaika mafundi wote bongo niliotajiwa wanaweza, tumelipia hadi kwenye mitandao online lakini tuliishia kupigwa sound tu

Hebu nipe contact za huyu kiumbe nimtafute tupige hela
( nahisi kama utanipa no ya mtu ambaye nilisha mfuata kashindwa)
 
I phone haina magumashi.

hadi uwe na password ya I cloud ndio unaifungua..

kama ni ya wizi imekula kwako.. hakuna ujanja.

mafundi njaa watakulia hela zako tu na hakuna watakachofanya.
 
inawezekana nikatuma ela kwa seller nikafanikisha?

Seller ni muuzaji tu kama umeinunua ebay na mitandao mingine kama hiyo

Kinachotakiwa hapo ni Apple id, kama seller angekuwa nayo alitakiwa kuitoa kabisa na akakuuzia simu haina hiyo id

Kwani wewe hiyo simu umeitoa wapi? Kuwa mkweli usaidiwe mawazo sahihi
 
Solution ya hiyo haipo kabisaaaaa usidanganywe tena kama imewekwa ktk black list ndo issue,wachina wanachofanya huchonga sacet mpya ambayo ni mbadala wake.
 
apple id inaweza kutoka ina inahitaji umakini wa hali ya juu mfano iphone 4 inawezekana kabisa kutoka na ipad zenye sehemu ya kuweka lini kuna baadhi ya server za kubypass icloud kupitia hii unaweza kuona apple id yake na ukaweza kutoa nyingi zinaitaji donation ya $5 hii wanachofanya kwenye server wana crash setup.app ndio utaweza kubypass au kutoa kabisa kama utaweza kureplace hii inaitaji tools nyingi kidogo pia iko nyia ya hardware unatoa baadhi ya resistor ambazo zitachange board id yaan kuchane ipad identity itakuwa wi-fi ipad na sio 3g tena hii mimi nimeshafanya kwenye ipad 2 3g nankafanikiwa pia kunazingine za wizi lakini hazina pass code ila zina icloud pia unaweza kuturn off find my iphone or ipad device kama ikiwa ios 7-8.1 kama ni zaidi ya hapo itabidi ndio kazi labda kama huyu mtu ameijailbreak ili upate root access kuna code unafuta then find my iphone or ipad itajiturn off pia hata kama inapasscode pia unaweza kubypass
 

Attachments

  • r1205.JPG
    r1205.JPG
    177 KB · Views: 379
Seller ni muuzaji tu kama umeinunua ebay na mitandao mingine kama hiyo

Kinachotakiwa hapo ni Apple id, kama seller angekuwa nayo alitakiwa kuitoa kabisa na akakuuzia simu haina hiyo id

Kwani wewe hiyo simu umeitoa wapi? Kuwa mkweli usaidiwe mawazo sahihi

nimeinunua ikiwa ivo ivo nikijua itakubali kuflash
 
apple id inaweza kutoka ina inahitaji umakini wa hali ya juu mfano iphone 4 inawezekana kabisa kutoka na ipad zenye sehemu ya kuweka lini kuna baadhi ya server za kubypass icloud kupitia hii unaweza kuona apple id yake na ukaweza kutoa nyingi zinaitaji donation ya $5 hii wanachofanya kwenye server wana crash setup.app ndio utaweza kubypass au kutoa kabisa kama utaweza kureplace hii inaitaji tools nyingi kidogo pia iko nyia ya hardware unatoa baadhi ya resistor ambazo zitachange board id yaan kuchane ipad identity itakuwa wi-fi ipad na sio 3g tena hii mimi nimeshafanya kwenye ipad 2 3g nankafanikiwa pia kunazingine za wizi lakini hazina pass code ila zina icloud pia unaweza kuturn off find my iphone or ipad device kama ikiwa ios 7-8.1 kama ni zaidi ya hapo itabidi ndio kazi labda kama huyu mtu ameijailbreak ili upate root access kuna code unafuta then find my iphone or ipad itajiturn off pia hata kama inapasscode pia unaweza kubypass

Mkuu kuna theory nyingi sana kwenye mitandao zinazoelezea uwezekano wa kupaypass icloud lock lakini hadi sasa ni iphone 4 pekee na baadhi ya ipad za nyuma ambazo watu wamefanikiwa kuzitoa lock

Hayo mambo ya kubadili sijui chip na nani ni dhana tu mkuu, na utapata wapi hizo chip za kureplace? Labda unadili motherboard yote ambapo ni sawa na kununua simu mpya sasa

Nakuhakikishia akitokea mtu anaweza kutoa hii makitu atapiga sana hela mwanzoni na dunia nzima tutajua within a day

Naamini ipo siku itawezekana lakini kwasasa ni dhana tu
 
Mkuu kuna theory nyingi sana kwenye mitandao zinazoelezea uwezekano wa kupaypass icloud lock lakini hadi sasa ni iphone 4 pekee na baadhi ya ipad za nyuma ambazo watu wamefanikiwa kuzitoa lock

Hayo mambo ya kubadili sijui chip na nani ni dhana tu mkuu, na utapata wapi hizo chip za kureplace? Labda unadili motherboard yote ambapo ni sawa na kununua simu mpya sasa

Nakuhakikishia akitokea mtu anaweza kutoa hii makitu atapiga sana hela mwanzoni na dunia nzima tutajua within a day

Naamini ipo siku itawezekana lakini kwasasa ni dhana tu

hawa apple ni hatar na ukiwa unatumia product zao jimin sana wapo vzr
 
Back
Top Bottom