interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,396
Carlos the Jackal, asante sana kwa taarifa njema, Mungu ni mwema sana ndiyomaana huwa nawasisitizia sana Watu kuwa tiba za magojwa yote zipo katika vyakula vitokanavyo na mimea ya asili, tatizo Binadamu wa kizazi chetu hiki ni Wabishi sana.Huhuhu nitakua nakuvutia na wa upande wa pili
Infact Mitishamba ni dawa
Mungu akubariki sana Mzee Baba.