Hii dozi inakua kwa muda gani? Unakunywa kiasi gani?Kuna wakati unakuwa mazingira ambayo si rafiki na huduma ya afya na hii sukari ukahisi inapanda au ndugu yako imepanda. Basi chukua magome ya mzambarau na mbuyu, chemsha kunywa, hii husaidia kushusha sukari na ikikukubali inaweza kuwa tiba yako, ikikataa kupona kuna kitu kinafanyika.
Kuna wakati unakuwa mazingira ambayo si rafiki na huduma ya afya na hii sukari ukahisi inapanda au ndugu yako imepanda. Basi chukua magome ya mzambarau na mbuyu, chemsha kunywa, hii husaidia kushusha sukari na ikikukubali inaweza kuwa tiba yako, ikikataa kupona kuna kitu kinafanyika.