Tatizo la CCM ni Mfumo-UKAWA!

Tatizo la CCM ni Mfumo-UKAWA!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,837
UKAWA wamekuwa wakisikika wakisema kwamba tatizo siyo mtu bali ni mfumo wa CCM na ni lazima kuubadilisha huwo mfumo!

Sasa swali langu kwa ukawa kama tatizo la CCM ni mfumo na Je, mnataka kuleta mfumo gani wa utawala ulio bora zaidi ya huu wa CCM?
Je, ni wa chadema, NCCR au CUF? Je mnaweza kuniambia kwamba chadema wana mfumo bora klk huu wa CCM? rejeeni jinsi Mwenyekiti wa chadema anavyopatikana, jinsi fisadi Lowasa alivyopewa nafasi ya kugombea uraisi bila kushindanishwa na yoyote yule, matumizi y ruzuku za chama hakuna ukaguzi wowote ule na hakuna anayejua isipokuwa Mbowe jinsi fedha zinavyotumika n.k!

Hivyo ingawaje mnaweza kuwa sahihi wamba CCM kuna matatizo lkn huko kwingine kwa fisadi Lowasa kuna matatizo makubwa zaidi!
 
Ni kweli wanataka kuleta mfumo bora zaidi wa jamhuri ya Chag.... inayojumuisha Mlima kilimanjaro na maeneo mengine muhimu ya kaskazini.
 
Kila siku Nasema, hawa watu wana matatizo makubwa zaidi ya kimfumo ndani, halafu wanakuja na vigelegele eti wanataka mabadiliko, wakati wao wenyewe hawajabadilika, wamekaa wanalindana, Demokrasia haifuatwi, na wala hawana mpango wa kuachia Chama kwa watu wengine. Ndio maana Sugu kawakimbia na kuja kwa jembe, Ngosha the Champion!
 
UKAWA wamekuwa wakisikika wakisema kwamba tatizo siyo mtu bali ni mfumo wa CCM na ni lazima kuubadilisha huwo mfumo!

Sasa swali langu kwa ukawa kama tatizo la CCM ni mfumo na Je, mnataka kuleta mfumo gani wa utawala ulio bora zaidi ya huu wa CCM?
Je, ni wa chadema, NCCR au CUF? Je mnaweza kuniambia kwamba chadema wana mfumo bora klk huu wa CCM? rejeeni jinsi Mwenyekiti wa chadema anavyopatikana, jinsi fisadi Lowasa alivyopewa nafasi ya kugombea uraisi bila kushindanishwa na yoyote yule, matumizi y ruzuku za chama hakuna ukaguzi wowote ule na hakuna anayejua isipokuwa Mbowe jinsi fedha zinavyotumika n.k!

Hivyo ingawaje mnaweza kuwa sahihi wamba CCM kuna matatizo lkn huko kwingine kwa fisadi Lowasa kuna matatizo makubwa zaidi!
Liagalie tatizo lako kwanza kabla ya kutaka kutoa boriti kwa CCM. Nyie ni umoja utakao kufa tarehe 25 October. Umoja wenu umesha anza kupuputika na kuweweseka. Umoja wenu hauna sera zaidi ya pipozzz. Umoja wenu ni dhaifu na unasubiri kuzikwa rasmi na kisheria tarehe 25 October.

MUNGU IBARIKI CCM

MUNGU MBARIKI JOHN MAGUFULI
 
Tunataka katiba ya ccm itolewe tufuate katiba ya wananchi.
 
Twaweza walisema wanaoipenda ccm wengi ni mazuzu, hawakukosea.
 
UKAWA wamekuwa wakisikika wakisema kwamba tatizo siyo mtu bali ni mfumo wa CCM na ni lazima kuubadilisha huwo mfumo!

Sasa swali langu kwa ukawa kama tatizo la CCM ni mfumo na Je, mnataka kuleta mfumo gani wa utawala ulio bora zaidi ya huu wa CCM?
Je, ni wa chadema, NCCR au CUF? Je mnaweza kuniambia kwamba chadema wana mfumo bora klk huu wa CCM? rejeeni jinsi Mwenyekiti wa chadema anavyopatikana, jinsi fisadi Lowasa alivyopewa nafasi ya kugombea uraisi bila kushindanishwa na yoyote yule, matumizi y ruzuku za chama hakuna ukaguzi wowote ule na hakuna anayejua isipokuwa Mbowe jinsi fedha zinavyotumika n.k!

Hivyo ingawaje mnaweza kuwa sahihi wamba CCM kuna matatizo lkn huko kwingine kwa fisadi Lowasa kuna matatizo makubwa zaidi!

●Mbona una hangaika hivyo kijana,sikia wewe...

•Unataka kujua NI MFUMO GANI BORA WA UTAWALA KULIKO HUU WENU MAFISIEMU UTAKAOLETWA NA UKAWA SIO?,JIBU:SUBIRI BAADA YA OCTOBER-25th nchi ichukuliwe na LOWASSA NDO UTAUTAMBUA HUO MFUMO BORA WA UKAWA DHIDI YA HUU WENU WAKIDHALIMU,mfumo huo bora wa utawala wa UKAWA UTALETWA NA KATIBA YA WANANCHI MLIYOIFINYANGA KULE DODOMA.

•Hivii unajielewa kweli wewe?...unavyosema ETI REJEENI MWENYEKITI WA CHADEMA ANAVYOPATIKANA...INA MAANA ULITAKA MIFUMO YA UPATAJI WENYEVITI UFANANE NA WA CCM WAKATI VYAMA VINA KATIBA TOFAUTI AMBAZO ZINA MIONGOZO YAKE HIVYO KAMWE HAVIWEZI KUJA KUWA NA NJIA MOJA YA KUMPATA WENYEVITI.

•Pia unavyosema ETI LOWASSA ALIVYOPEWA KUGOMBEA URAIS BILA KUSHINDANISHWA NA WENGINE,NI WAZI BADO UNALINGANISHA UPATIKANAJI WA MGOMBEA URAIS NDANI YA CCM NA UKAWA...JE ULITAKA TARARIBU ZAO ZIFANANE??

•Pia unavyosema RUZUKU ZA CHADEMA HAKUNA UKAGUZI...NAOMBA UNILETEE REPORT YA UKAGUZI WA RUZUKU ZA CCM KWANZA ALAFU NDO NKUPE HIYO YA CHADEMA...SAWAAA???,Alafu USISAHAU KUNILETEA NA MIRADI YA CHAMA CHENU CHA CCM KWA UWAZI UNAYOPELEKEA CHAMA KIWE TAJIRI VILE MAANA NI CHAMA KAMA CHAMA KINGINE REGARDLESS NI KIKONGWE NCHINI.

•Usiseme Tunaweza kuwa sahihi tunavyosema MFUMO WA CCM NI MBOVU...BALI NI UKWELI TUPO SAHIHI 100% KUWA NI MBOVU NA TUMECHOSHWA NA MFUMO HUO WA KIDHALIMU.

●HAMNA NAMNA TENA CCM MUMEKWISHA AWAMU HII NA TUNASEMA CCM #OUT.
 
Mfumo mpya chini ya katiba ya wananchi.
Mfumo utakaokuwa sikivu kwa sauti ya umma.
Mfumo ambao hautakuwa unalinda na kusafisha mafisadi.
Mfumo utakaotumia rasilimali za taifa kunufaisha wananchi wote.
Mfumo utakaojaribu kuikwamua Tanzania kiuchumi jambo ambalo limeshindikana toka Uhuru.
Mfumo utakaohakikisha mikataba yote inazingatia maslai ya Taifa.
 
UKAWA wamekuwa wakisikika wakisema kwamba tatizo siyo mtu bali ni mfumo wa CCM na ni lazima kuubadilisha huwo mfumo!

Sasa swali langu kwa ukawa kama tatizo la CCM ni mfumo na Je, mnataka kuleta mfumo gani wa utawala ulio bora zaidi ya huu wa CCM?
Je, ni wa chadema, NCCR au CUF? Je mnaweza kuniambia kwamba chadema wana mfumo bora klk huu wa CCM? rejeeni jinsi Mwenyekiti wa chadema anavyopatikana, jinsi fisadi Lowasa alivyopewa nafasi ya kugombea uraisi bila kushindanishwa na yoyote yule, matumizi y ruzuku za chama hakuna ukaguzi wowote ule na hakuna anayejua isipokuwa Mbowe jinsi fedha zinavyotumika n.k!

Hivyo ingawaje mnaweza kuwa sahihi wamba CCM kuna matatizo lkn huko kwingine kwa fisadi Lowasa kuna matatizo makubwa zaidi!

Huko chaggadema hakuna mwenye akili timamu kabisa anayewakubalia mambo yao labda awe mchagga vinginevyo ni wale wavuta bhangi,wanywa viroba!Wao akili zao zimesetiwa kuona upande mmoja
 
Hivi kama ww Baraka CCM wamekupa manufaa gan kwanza mm siipendi kwa sababu mmetutia katika umasikin mkubwa saana kaz yenu kubwa kuomba misaada NA mikopo nje ya nchi wakati Tz nzm imebarikiwa kuna kila aina ya madini ila ninyi CCM Tanzanite mmewachia kenya ndy inajulkana kama ya kwenu wazungu wanachukua lasimali za nchi wanawaletea condom NA net nyie mnafurahia.

Unasema Lowassa ni fisadi naomba niambie baada ya lowassa kujiuzuru je hakuna majambazi NA walio laaniwa kwenu niambie walioiba pesa za ESCROW ni UKAWA.?

SO TUMECHOKA TUNATAKA MABADILIKO NYIE HAMTAWEZA KUTULETEA MABADILIKO COZ NYIE MNASHUSHA UCHUMI WA NCHI

MABADILIKO..... LOWASSSA........
 
Katiba ya warioba iliweka kila kitu wazi. Kaisome
 
Katiba ya warioba iliweka kila kitu wazi. Kaisome

Lakini fisadi Lowasa na Genge lake ndiyo waliokuwa wapinganji na wachakachuaji wakubwa wa hiyo unayoiita Katiba ya Warioba sasa iweje leo hii aja kuitetea? Unategemea WatanZania wanaweza kumuamini mtu kama huyo?
 
Chadema wamebakiza mtu mmoja tu safi mnyika wengine makapi na ulafi.
 
Mfumo mpya chini ya katiba ya wananchi.
Mfumo utakaokuwa sikivu kwa sauti ya umma.
Mfumo ambao hautakuwa unalinda na kusafisha mafisadi.
Mfumo utakaotumia rasilimali za taifa kunufaisha wananchi wote.
Mfumo utakaojaribu kuikwamua Tanzania kiuchumi jambo ambalo limeshindikana toka Uhuru.
Mfumo utakaohakikisha mikataba yote inazingatia maslai ya Taifa.

Pamoja na kwamba swali limeulizwa kishabiki, nakushukuru umejibu vizuri kiasi. Kwangu ni vizuri UKAWA wanapokosoa waeleze kwa ufasaha mbadala wa tatizo la CCM. Kwani ukiacha majina ya vyama kwa kiasi fulani misingi yetu/tabia zetu kama binadamu zinaendana. Mfano wengi kama siyo wote tunapenda kujipendelea kwa hiyo lazima kuwe na mfumo wa kubana kila mmoja asijependelee au kupendelee ndugu/rafiki yake.
Katiba mpya ikiwekwa vizuri itatatua baadhi ya mambo.
 
●Mbona una hangaika hivyo,kijana sikia wewe...

•Unataka kujua NI MFUMO GANI BORA WA UTAWALA KULIKO HUU WENU MAFISIEMU UTAKAOLETWA NA UKAWA SIO?,JIBU:SUBIRI BAADA YA OCTOBER-25th nchi ichukuliwe na LOWASSA NDO UTATAMBUA HUO MFUMO BORA WA UKAWA DHIDI YA HUU WENU WAKIDHALIMU!

•Hivii unajielewa kweli wewe?...unavyosema ETI REJEENI MWENYEKITI WA CHADEMA ANAVYOPATIKANA...INA MAANA ULITAKA MIFUMO YA UPATAJI MWENYEKITI UFANANE NA WA CCM WAKATI VYAMA VINA KATIBA TOFAUTI AMBAZO ZINA MIONGOZO YAKE HIVYO KAMWE HAVIWEZI KUJA KUWA NA NJIA MOJA YA KUMPATA MWENYEKITI.

•Pia unavyosema ETI LOWASSA ALIVYOPEWA KUGOMBEA URAIS BILA KUSHINDANISHWA NA WENGINE,NI WAZI BADO UNALINGANISHA UPATIKANAJI WA MGOMBEA URAIS NDANI YA CCM NA UKAWA...JE ULITAKA TARARIBU ZAO ZIFANANE??

•Pia unavyosema RUZUKU ZA CHADEMA HAKUNA UKAGUZI...NAOMBA UNILETEE REPORT YA UKAGUZI WA RUZUKU ZA CCM KWANZA ALAFU NDO NKUPE HIYO YA CHADEMA...SAWAAA???

•Usiseme Tunaweza kuwa sahihi tunavyosema kuwa MFUMO WA CCM NI MBOVU...BALI NI UKWELI KUWA TUMECHOSHWA NS MFUMO HUO WA KIFHALIMU.

●HAMNA NAMNA TENA CCM WAMEKWISHA AWAMU HII NA TUNASEMA CCM #OUT.

haya tumekuelewa taratibu za Ccm na Chadema/Ukawa hazifanani....Tuambie sasa upi utaratibu bora?....Husitake tukuchague afu ndo utuonesha Mfumo wako, Mnabahatisha ama?
 
haya tumekuelewa taratibu za Ccm na Chadema/Ukawa hazifanani....Tuambie sasa upi utaratibu bora?....Husitake tukuchague afu ndo utuonesha Mfumo wako, Mnabahatisha ama?

Wewe umedata sio siri kwenye BOLD HAPO...unichague kwani mie nagombea uongozi wowote???,KUHUSU MFUMO BORA WA SERIKALI NA KIUTAWALA KWA UJUMLA UTAPATIKANA KUPITIA KATIBA YA WANANCHI AMBAYO MLIIFINYANGA KULE DODOMA NYIE MAFISIEMU,NA HII NI SERA YA #KWANZA KATIKA ILANI YA UKAWA!

#NB:KATIBA NDO KILA KITU KWENYE NCHI YOYOTE ILE DUNIANI LAKINI ITOKANE NA MATAKWA YA WANANCHI NA SIO WATU WACHACHE.
 
Katiba ya warioba iliweka kila kitu wazi. Kaisome

Yaani fisadi Lowassa ndo akawaletee katiba nzuri? ili ikamfunge yeye? eti ajitengenezee kitanzi chake siyo? mnachekesha sana
 
Back
Top Bottom