Dr.Mo
JF-Expert Member
- Mar 28, 2012
- 3,809
- 1,653
Na samia aliifanyaje.? Aliikojolea labisa au.?! Unamwamini nae.!?Lakini fisadi Lowasa na Genge lake ndiyo waliokuwa wapinganji na wachakachuaji wakubwa wa hiyo unayoiita Katiba ya Warioba sasa iweje leo hii aja kuitetea? Unategemea WatanZania wanaweza kumuamini mtu kama huyo?