Hbr za leo wakuu. Naomba kupata msaada wa namna ya kutengeneza Camera ya simu yangu aina ya Samsung Galaxy A8. Kwa ss nikifungua Camera yake inasema "Warning. Camera failed" Lkn nikiweka simu kwenye chaji inafunga Camera, japo sio kwa quality nzuri nilioizoea.
Anayeweza kunisaidia kutatua tatizo hili plse anijulishe hapa au kwa namba 0769725553. Nmejaribu kuipeleka kwa mafundi watatu tofauti nikapata maelezo tofauti hadi nikaogopa. Nipo Dar japo kwa sasa niko mkoani lkn wiki hii mwishoni narudi Dar.
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Anayeweza kunisaidia kutatua tatizo hili plse anijulishe hapa au kwa namba 0769725553. Nmejaribu kuipeleka kwa mafundi watatu tofauti nikapata maelezo tofauti hadi nikaogopa. Nipo Dar japo kwa sasa niko mkoani lkn wiki hii mwishoni narudi Dar.
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app

