Tatizo la Burnt backlight kwe flat Tv

Tatizo la Burnt backlight kwe flat Tv

Magna Carta

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2014
Posts
4,348
Reaction score
6,669
Kwema wakuu, ninaomba kujulishwa namna ya kutatua tatizo hili, ambapo sauti inasikika ila Tv ni blank screen
 
Kwema wakuu, ninaomba kujulishwa namna ya kutatua tatizo hili, ambapo sauti inasikika ila Tv ni blank screen

Mkuu jaribu kumulika kwa Torch hata ya simu uone kama utaona picha,ikiwa hivyo badilisha mikanda ya taa imeungua.
 
Mkuu jaribu kumulika kwa Torch hata ya simu uone kama utaona picha,ikiwa hivyo badilisha mikanda ya taa imeungua.
Jana usiku ghafla ndio tatizo lilitokea, nilifanya kuzima taa za chumba nikawasha tochi na kumulika picha inaonyesha, je hiyo mikanda inapatikana wapi
 
Jana usiku ghafla ndio tatizo lilitokea, nilifanya kuzima taa za chumba nikawasha tochi na kumulika picha inaonyesha, je hiyo mikanda inapatikana wapi

Ukienda kwa Fundi TV yoyote pia kwenye maduka ya vifaa vya TV inauzwa,ingia instagram au Facebook u search wapo Mafundi weng wababadilisha.
 
Ukienda kwa Fundi TV yoyote pia kwenye maduka ya vifaa vya TV inauzwa,ingia instagram au Facebook u search wapo Mafundi weng wababadilisha.
Tv ni mpya siwezi kuirudisha kwa kuwa Ina guarantee ya Mwaka, Ina miezi miwili ipi option nzuri
 
Tv ni mpya siwezi kuirudisha kwa kuwa Ina guarantee ya Mwaka, Ina miezi miwili ipi option nzuri
𝙽𝚊 𝚖𝚒𝚎 𝚗𝚒𝚖𝚎𝚙𝚊𝚝𝚊 𝚑𝚒𝚢𝚘 𝚌𝚑𝚊𝚕𝚕𝚎𝚗𝚐𝚎. 𝙽𝚒𝚖𝚎𝚝𝚎𝚗𝚐𝚎𝚗𝚎𝚣𝚊 𝚠𝚒𝚔𝚒 3 𝚣𝚒𝚕𝚒𝚣𝚘𝚙𝚒𝚝𝚊, 𝚓𝚊𝚗𝚊 𝚒𝚖𝚎𝚣𝚒𝚖𝚊 𝚝𝚎𝚗𝚊...
 
ingependeza sana kama mngeshare hizo brand za tv ili wengine twende kwa tahadhari zaidi ingawa utatuzi wa tatizo ni kama waja walivyoshare hapo juu
 
Japo hajataja hizo brands ila kiukweli hizi flat tvs ni pasua kichwa
Kadri unavyoitazama(on) ndio maisha yake yanavyozidi kupungua.
Ugonjwa wa hizi tvs ni back light na t-corn hayo mengine ni wwe na watoto wako na tanesco
 
𝙽𝚊 𝚖𝚒𝚎 𝚗𝚒𝚖𝚎𝚙𝚊𝚝𝚊 𝚑𝚒𝚢𝚘 𝚌𝚑𝚊𝚕𝚕𝚎𝚗𝚐𝚎. 𝙽𝚒𝚖𝚎𝚝𝚎𝚗𝚐𝚎𝚗𝚎𝚣𝚊 𝚠𝚒𝚔𝚒 3 𝚣𝚒𝚕𝚒𝚣𝚘𝚙𝚒𝚝𝚊, 𝚓𝚊𝚗𝚊 𝚒𝚖𝚎𝚣𝚒𝚖𝚊 𝚝𝚎𝚗𝚊...
Gharama zake ni Tsh ngapi
 
Japo hajataja hizo brands ila kiukweli hizi flat tvs ni pasua kichwa
Kadri unavyoitazama(on) ndio maisha yake yanavyozidi kupungua.
Ugonjwa wa hizi tvs ni back light na t-corn hayo mengine ni wwe na watoto wako na tanesco
t-corn ni tatizo gani?
 
t-corn ni tatizo gani?
T corn ni kidhibiti cha saa hutafsiri Kati mawimbi ya kawaida ya video na ishara mahususi na kiendeshi cha safu MLALO na safu vinahitajika na panel mahususi ua LCD au nyingine
Screenshot_2023-04-26-10-02-26-280-edit_com.google.android.googlequicksearchbox.jpg
 
Sawa mkuu.
Mimi nilidhawahi kupata hilo tatizo kwenye LG. Baada ya kubadili mkanda wa back-light tatizo halijajirudia tena.
Nilinunua hiyo tv mwaka 2015, tatizo likatokea 2020.
Kumbe ni tatito la smart Tv, nilijaribu kuperuzi mitandaoni kuna sababu kadha za kutokea sijui na mambo ya umeme yakiwepo, ipo kwenye guarantee nimeirudisha
 
Back
Top Bottom