Jamani habarini, naomba kufahamu, kwa nini matangazo ya google adsense yayaonekani kwenye baadhi ya post ninazoweka kwenye site yangu?
Na pia nime-experience hivyo hasa kwenye post za kiswahili, ila nikiweka post za kiingereza matangazo yanaonekana, naomba msaada kwenu wadau, natanguliza shukrani
Na pia nime-experience hivyo hasa kwenye post za kiswahili, ila nikiweka post za kiingereza matangazo yanaonekana, naomba msaada kwenu wadau, natanguliza shukrani