Hembu jiulize wafanyabiashara hapa tanzania wenye viwanda,malori,ma bus ya usafirishaji,vituo vya mafuta,maduka ya vifaa vya ujenzi etc ni wakristo au waislam?Hizo ni ajira tosha kwetu!ofisi za umma waislam mnawapa kazi za udereva na ulinzi kwa kuwa eti sii walevi kama wakristowakuu,
kikubwa ambacho wasialam wanagangania kuhusu uanzishwaji wa mahjakama ya kadhi ni upanuzi wa ajira kwao kwa sababu ikianzishwa ni kama mfumo wa mahakama ya sasa ulivyo kwa maana ya mbali na kushugulikia masuala ya kiroho kama wanavyodai lakini hawasemi ni jinsi gani zinavyoendeshwa.
kama baadhi hamjui ngoja niwajulishe.
Kadhi mkuu atakuwa na wasaidizi kwa nchi nzima,watalipwa mishahara na serikali,watakuwa na ofisi,magari na kuingizwa katika ajira rasmi a serikali na taarifa nilizonazo kutoka kwa baadhi ya nchi ambazo utataribu huu upo ni kuwa hakuna mtu nje ya dini hiyo atakayeruhusiwa kuajira katika makakama za kadhi kuanzia kadhi mkuu hadi wa wilaya,Mwanzo.
kwa ufupi ni kuwa ikianzishwa kwa kodi ya waumini wa dini zote itakuwa bonge la ulaji kiajira kwa waislamu ndiyo maana wanakomaa nayo.
USHAURI:Kama wanaona ni muhimu kwa nini wasiaziashe wao wenyewe kwa gharama zao badala ya kugangania kugharamia na serikali
kazi kwenu.
Hembu jiulize wafanyabiashara hapa tanzania wenye viwanda,malori,ma bus ya usafirishaji,vituo vya mafuta,maduka ya vifaa vya ujenzi etc ni wakristo au waislam?Hizo ni ajira tosha kwetu!ofisi za umma waislam mnawapa kazi za udereva na ulinzi kwa kuwa eti sii walevi kama wakristo
Rutunga M
===>hv wale jamaa wanaomaliza MU ie Muslim University wanaosomea sheria za kiarabu wameajiriwa wapi?
it makes a lot of senseit does make a lot of sense.
it makes a lot of sense
wakuu,
kikubwa ambacho wasialam wanagangania kuhusu uanzishwaji wa mahjakama ya kadhi ni upanuzi wa ajira kwao kwa sababu ikianzishwa ni kama mfumo wa mahakama ya sasa ulivyo kwa maana ya mbali na kushugulikia masuala ya kiroho kama wanavyodai lakini hawasemi ni jinsi gani zinavyoendeshwa.
kama baadhi hamjui ngoja niwajulishe.
Kadhi mkuu atakuwa na wasaidizi kwa nchi nzima,watalipwa mishahara na serikali,watakuwa na ofisi,magari na kuingizwa katika ajira rasmi a serikali na taarifa nilizonazo kutoka kwa baadhi ya nchi ambazo utataribu huu upo ni kuwa hakuna mtu nje ya dini hiyo atakayeruhusiwa kuajira katika makakama za kadhi kuanzia kadhi mkuu hadi wa wilaya,Mwanzo.
kwa ufupi ni kuwa ikianzishwa kwa kodi ya waumini wa dini zote itakuwa bonge la ulaji kiajira kwa waislamu ndiyo maana wanakomaa nayo.
U
usiwe na akili ya matope,hujamsikia rais akisema haitagharamikiwa na serikali waza na kufukiria kabla ya kufungua domo lako,el stupido!
Kama hii Serikali ya JK na Pinda ingekuwa hata na PUNJE ya akili haiwezi kamwe kukubali kugharamikia kadhi courts.
Tembelea nchi nzima majengo ya mahakama zetu za wilaya na mwanzo, ni majengo yaliyojengwa na MJERUMANI yote yanavuja na ni mazalia na nyumba za popo.
Hao wazee wa baraza wa mahakama za mwanzo, kulipwa posho zaoimekuwa wimbo sawa na wazee wa East Afrika Community.
Sipati picha hii serikali ya CCM itapata wapi kwanza pesa za kujenga majengo ya mahakama za kadhi. Kumbuka hao ndugu zetu walivyo wakorofi, hawawezi kukubali kuamulia mashauri yao chini ya mwembe. Pesa za kuwalipa hao makadhi watapata wapi kama wanashindwa kuwalipa wazee wa mabaraza! Kwanini hawa CCM wanataka kujibebesha mzigo ambao ni dhahiri hawawezi kuubeba, hizi ni akili za wapi jamani?!, au ndiyo Mungu amewapinga upofu hawasikii la muadhini!
wakuu,
kikubwa ambacho wasialam wanagangania kuhusu uanzishwaji wa mahjakama ya kadhi ni upanuzi wa ajira kwao kwa sababu ikianzishwa ni kama mfumo wa mahakama ya sasa ulivyo kwa maana ya mbali na kushugulikia masuala ya kiroho kama wanavyodai lakini hawasemi ni jinsi gani zinavyoendeshwa.
kama baadhi hamjui ngoja niwajulishe.
Kadhi mkuu atakuwa na wasaidizi kwa nchi nzima,watalipwa mishahara na serikali,watakuwa na ofisi,magari na kuingizwa katika ajira rasmi a serikali na taarifa nilizonazo kutoka kwa baadhi ya nchi ambazo utataribu huu upo ni kuwa hakuna mtu nje ya dini hiyo atakayeruhusiwa kuajira katika makakama za kadhi kuanzia kadhi mkuu hadi wa wilaya,Mwanzo.
kwa ufupi ni kuwa ikianzishwa kwa kodi ya waumini wa dini zote itakuwa bonge la ulaji kiajira kwa waislamu ndiyo maana wanakomaa nayo.
U
usiwe na akili ya matope,hujamsikia rais akisema haitagharamikiwa na serikali waza na kufukiria kabla ya kufungua domo lako,el stupido!
acha kukurupuka wewe.hii post ni ya kabla ya 2015.imekuwa updated tu. pole sana
Wakiristu Ni wapuuzi cjapata Ona!
Unachanganya madawa. Sheikh au Padre anaweza kuwa Rais kama anakidhi sifa. Hatachaguliwa kwa uSheikh au uPadre wake. Na akipata madaraka lazima afuate katiba ya nchi. Simple and clear!
Mbona wapo ma Sheikh wenye sifa kibao kama ilivyo kwa ma Padre.
Wakiristu Ni wapuuzi cjapata Ona!
Wakiristu Ni wapuuzi cjapata Ona!