Habari zenu wanajamvi, nina desktop aina ya dell nlipewa na mtu ila cha ajabu nimeiconnect na tower lakini nikiiwasha inaandika "no signal" afu inajizima yenyewe. Tatizo linaeza kua lipi, msaada tafadhali.
Angalia ports kwanza kama ipo zaidi ya vga Jaribu kubadili. Fanya trial and error chukua hio monitor na desktop nyengine na desktop na monitor nyengine.
Angalia ports kwanza kama ipo zaidi ya vga Jaribu kubadili. Fanya trial and error chukua hio monitor na desktop nyengine na desktop na monitor nyengine.