Tatizo gani linafanya simu kuchemka?

Tatizo gani linafanya simu kuchemka?

Kama hamna majibu si mkae kimya waje wenye akili wampe majibu.
Hili jukwaa limevamiwa na wapumbavu sikuhizi!a year or two was the only forums where every thread here taken seriously,watu kama mkwawa mwl rct ,khalfani 56 na wengineo wanjibu kila suali na kututatulia ushamba wetu bila kuchoka!
Hivi sasa ukimya wao nauelewa maana sasa hawajibu mpka uwatag au uchomekee kwebye uzi wao au iingie pm.
Sababu ?kwa ajili ya wapuuzi aina ya waliomjibu mleta uzi!
 
Jaman watu huku mjiheshim.. muwe na adab. Mwenzenu amewauliza swali... mjibu kwa usahihi... msilete utani. Kama hujui kaa kimya...
 
Nimeshawapa majibu yenu wahusika wa upumbavu wote japo si kanuni na desturi ya jukwaa hili nimefanya hivyo kuonesha msisitizo mutafute jukwaa lingine la kufanya ujinga wenu !kilichobaki msitie miguu jukwaa hili !nyambaf!
 
Nimeshawapa majibu yenu wahusika wa upumbavu wote japo si kanuni na desturi ya jukwaa hili nimefanya hivyo kuonesha msisitizo mutafute jukwaa lingine la kufanya ujinga wenu !kilichobaki msitie miguu jukwaa hili !nyambaf!
Dah.... Hoja ya kijinga hujibiwa kwa ujinga..... vile vile up umbavu kwa upum. Bavu[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Ningekuwa moderator ningewalambisha ban ya mwaka wooote kwenye haka kajukwaa kuanzia mtoa uzi hadi wachangiaji[emoji53] [emoji53] [emoji53] [emoji53]
 
sikia we dogo, kwanza inachemka sehemu gani baada ya hapo ndio tukusaidie,harafu hiyo tecno yako betrii yake ina toka na unaweza ukaweka nyingine
 
Wakuu naomba mnisaidie simu yangu ina tatizo la kuchemka kila nifunguapo data ,nimejaribu kurestore simu zaidi ya mara tatu ili niondokane na hili tatizo la kuchemka kwa simu yangu lkn naona bado iko vile vile mpaka ss inachemka ,pia betri lake ni unremovable ,nimejitaidi kuondoa app zisizo za msingi katika simu yangu lkn bado ipo vile vile ,nimejaribu kuweka cool master inasaidie lkn bado ,ndo nimeona nije kwenu najua humu kuna wataalam watanisaidia .SIMU YANGU TECNO W4 WALA HAIJAWAHI ANGUKA CHINI NA SIJAWAHI KUICHAJI IKIWA NA MOTO MM HUWA NAIACHA INAISHIWA CHAJI NDO NAWEKA,ILA NISIPOFUNGUA DATA HAICHEMKI .
Kuna sababu nyingi tu husababisha simu kuwa ya moto, lakini kuna sababu moja ambayo ndo husababisha simu nyingi kuwa za moto hasa simu za Android, sababu hii ni kuibebesha simu app nyingi kupita uwezo wake, simu inapokuwa dhaifu halafu ukaiweka apps nyingi zinakuwa zinagombania system resources hasa pale unapowasha data maana kila app hutaka kuaccess data connection ambapo hugombania RAM na processor na kufanya simu kuwa ya moto. Solution ni kupunguza apps na kubaki na chache kulingana na uwezo wa simu, kama hutaki kupunguza apps itakubidi ununue simu yenye sifa za hali ya juu yaani high end
 
Check labda Cylinder head imepata ufaa, or rejector itakuwa kuna sehemu inavuja uzibe, au rejetor fan itakuwa haifanyi kazi or check fan belt inaweza iko lose
 
SABABU ZA SIMU "KUCHEMKA"

* Imezidiwa size : Size ya memory imejaa. Na tena ukiwa unatumia memory card na umejaza vitu basi hapo ni shida

* Unaitumia wakati ina charge : Kila betri ina charging cycle yake kwahyo uki interrupt charging cycle ya baadhi ya simu inashindwa kuchaji na joto linatokea

* Unaitumia kwa vitu vingi, unaifanyia Overloading, unafungua applications nyingi hadi simu inatumi processor kwa nguvu

* Unacheza games : sababu ni kama point ya juu. Ni hi na unganishia kutumia camera kwa muda mrefu... Umeme wa kuendesha vifaa vingi (bluetooth, wifi, data, gsm, camera, Flash) joto linazidi.


* Mazingira ya joto kama upo dar, moshi, dodoma kuna joto simu inachemka haraka.
Simu zingine zilitengnezwa kwa ajili ya mazingira ya ubaridi ndio maana unakuta sometimes cover za bati

* Simu unaiwekea cover, kuna macover yanazuia joto kutoka kwenye simu.


instagram: @fundirabbit_design_lab
 
Back
Top Bottom