VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,004
Mzee naomba ufafanuzi kuhusu utaratibu wa kupata viti maalum.Kigezo ni kipi, ni idadi ya wabunge wa kuchaguliwa ama kura za urais?
Pamoja na kutoshinda kwa Ndugu Edward Ngoyai Lowassa, bado kuna haja ya kufahamu kuwa Lowassa amemzidi na kumfunika Dr. Slaa aliyegombea mwaka 2010 kupitia CHADEMA. Mwaka 2010, kura zilizopigwa zilikuwa 8,398,394 na Dr. Slaa alipata kura milioni 2.2 ambazo ni sawa na asilimia 26.34 ya kura zote. Mwaka huu, zilipigwa kura 15,193,863 na Lowassa kupata kura milioni 6 na ushee sawa na asilimia 39.97.
Mshindi wa mwaka 2010,Rais Kikwete alipata asilimia 61 na wa mwaka huu amepata asilimia 58.46. Ukitazama kwa jicho kali, utaona na kujua kuwa Lowassa amemzidi kwa mbali sana Dr. Slaa. Pia, CCM imeendelea kupungua kwa asilimia za kura zake. Ni wazi sasa kuwa, Lowassa ameongeza hta majimbo ya uchaguzi kwa CHADEMA na CUF pamoja na vyama hivyo kupoteza baadhi ya majimbo yao.
Lowassa amesaidia kupoka ngome mbalimbali za CCM na kuzikabidhi CHADEMA na CUF. Mwaka huu, kwa uwiano wa kura za wagombea wa Urais wa Tanzania, CHADEMA itapata nafasi za viti maalum kwa wingi zaidi na kutoachwa mbali na CCM kama ilivyokuwa mwaka 2010. Haya pia ni mafanikio yaliyoletwa na Lowassa huko CHADEMA na kumzidi kwa mbali Dr. Slaa wa mwaka 2010. CHADEMA ilicheza karata zake vyema.
Kila la kheri watanzania!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar ni
Ni kweli ukupima kwa namba loqassa kampita dr slaa ika sasa inatakiwa kufanyika tarhmini makini sana ili tupate facts zitakazosaidia kujenga nchi.
Sasa ingawa mimi ni ccm ila nimefurahi sana kwa upinzani kupata viti vingi vya ubunge naomba pia hivyo vilivyobaki navyo viende upinzani ili bungeni pawepo na ushindani wa nguvu ya hoja
Pamoja na kutoshinda kwa Ndugu Edward Ngoyai Lowassa, bado kuna haja ya kufahamu kuwa Lowassa amemzidi na kumfunika Dr. Slaa aliyegombea mwaka 2010 kupitia CHADEMA. Mwaka 2010, kura zilizopigwa zilikuwa 8,398,394 na Dr. Slaa alipata kura milioni 2.2 ambazo ni sawa na asilimia 26.34 ya kura zote. Mwaka huu, zilipigwa kura 15,193,863 na Lowassa kupata kura milioni 6 na ushee sawa na asilimia 39.97.
Mshindi wa mwaka 2010,Rais Kikwete alipata asilimia 61 na wa mwaka huu amepata asilimia 58.46. Ukitazama kwa jicho kali, utaona na kujua kuwa Lowassa amemzidi kwa mbali sana Dr. Slaa. Pia, CCM imeendelea kupungua kwa asilimia za kura zake. Ni wazi sasa kuwa, Lowassa ameongeza hta majimbo ya uchaguzi kwa CHADEMA na CUF pamoja na vyama hivyo kupoteza baadhi ya majimbo yao.
Lowassa amesaidia kupoka ngome mbalimbali za CCM na kuzikabidhi CHADEMA na CUF. Mwaka huu, kwa uwiano wa kura za wagombea wa Urais wa Tanzania, CHADEMA itapata nafasi za viti maalum kwa wingi zaidi na kutoachwa mbali na CCM kama ilivyokuwa mwaka 2010. Haya pia ni mafanikio yaliyoletwa na Lowassa huko CHADEMA na kumzidi kwa mbali Dr. Slaa wa mwaka 2010. CHADEMA ilicheza karata zake vyema.
Kila la kheri watanzania!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Ni kura za Urais Mkuu. Mwaka huu, viti maalum vitapatikana kwa CCM na CHADEMA tu.
Mzee Tupatupa
sawa mkuu ila hatukushindwa katika box la kura tumeshindwa na ubabe wa jk &co.
Mzee Tupatupa wa Lumumba,
Kwanza nikupe big up kwa kuliona hili ambalo ni ukweli mtupu. Kuna watu wamembeza sana EL baada ya kujiunga na CDM/UKAWA wakisema kuwa hawezi kumfikia Dr. Slaa. Mimi niliikuwa nawashangaa sana. Nidhahiri kuwa wamegundua kosa lao kwamba hawakuwa sahihi.
Kwa taarifa tu ni kwamba kama Serikali ya Madikteta wa CCM wasingefanya Uchakachuaji ikiwa ni pamoja na kuwadhibiti watu wa IT wa CDM/UKAWA ili kuvuruga majumuisho ya kura za UKAWA nina hakika CM wasingelipenya safari hii.
Tuna hakika Magufuli anajua, Kiwete anajua na CCM wanajua kuwa KURA zilizomwingiza JPM Ikulu ni kura za wizi na hivyo basi Urais wake ni haramu.
Mzee Tupatupa wa Lumumba,
Kwanza nikupe big up kwa kuliona hili ambalo ni ukweli mtupu. Kuna watu wamembeza sana EL baada ya kujiunga na CDM/UKAWA wakisema kuwa hawezi kumfikia Dr. Slaa. Mimi niliikuwa nawashangaa sana. Nidhahiri kuwa wamegundua kosa lao kwamba hawakuwa sahihi.
Kwa taarifa tu ni kwamba kama Serikali ya Madikteta wa CCM wasingefanya Uchakachuaji ikiwa ni pamoja na kuwadhibiti watu wa IT wa CDM/UKAWA ili kuvuruga majumuisho ya kura za UKAWA nina hakika CM wasingelipenya safari hii.
Tuna hakika Magufuli anajua, Kiwete anajua na CCM wanajua kuwa KURA zilizomwingiza JPM Ikulu ni kura za wizi na hivyo basi Urais wake ni haramu.
Ni kura za Urais Mkuu. Mwaka huu, viti maalum vitapatikana kwa CCM na CHADEMA tu.
Mzee Tupatupa