Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
Mnakosea sn......rais wa Zanzibar ilitakiwa wamteue wenyewe wazanzibari tena hukohuko kwao Zanzibar.........Nchi ni moja, Chama ni kimoja, Halmashauri kuu ya Taifa ni moja, kama Bunge lilivyo moja! huwezi kusema leo tunajadili issue ya Zanzibar wengine wote msiotoka Zanzibar tokeni mtupishe! Naomba uzoefu wa vyama vingine kama Chadema, CUF ,NCCR , ADC ,Jahazi Asili vyote hivyo vilifasimamisha wagombe urais Zanzibar , je ukifika wakati wa maamuzi huwa wanafakuza wajumbe wa vikao vya maamuzi wabaki wa Zanzibar tu?!
Ona sasa mwinyi kateuliwa na wabara lkn kuanzia viongozi hadi wananchi hawataki kusikia kitu kinachoitwa mwinyi.........