MAPUMA MIYOGA
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 3,792
- 2,362
Bado napata kigagaziko kwa ccm kuendelea kutoa urais kwa watoto wa maraie. Huu ni upuuzi Sana. Mwinyi Hana kitu unique zaidi ya kuwa babake alikuwa Rais. Si ajabu baba alikuwa anaunga mkono juhudi daily hata Mambo ya ajabu.
Kwa ccm maana yake wote hawana akili isipokuwa watoto wa marais wastaafu.
Kwa ccm maana yake wote hawana akili isipokuwa watoto wa marais wastaafu.