Roadmap
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 2,898
- 5,796
Niliongea hili kuwa Prof na mkulu zinapanda sana ila Sio kwa extent hio ya Kumtema JR ambapo wote ni mashahidi SR anavyolamba Viatu, Hawa wastaafu ni muhumi sana haswa kipindi hichiJiwe ametambua kwamba anawahitaji wale wazee waliomtangalio kwenye hiko kiti kuliko alivyozani hapo awali, tena hasa kipindi hiki cha uchaguzi, kaona hasara kuna hasara kubwa ya kubaki peke yake, ambayo inaweza kumcost hata kupoteza urais, sasa tayari kashamtega mzee mwinyi, tuone kwa kikwete, je ridhawani atapitishwa kule Bagamoyo? Kwa mkapa atafanyaje? Ngoja tuendelee kutafuna korosho toka mtwara, wakati game linaendelea.
Japo Mkulu angeamua kuzinda akapiga chini JR na kwenda Prof bado wasingemtisha japo ingetokea collision ila hao ni wastaafu tu effect yao ni negligible japo inshu ya fadhila ni muhimu kwa vile na wewe una watoto pia