Tataaaa

mwl

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
1,101
Reaction score
914
Kibibi kimoja kizee kilisikia malaika wa kutoa roho watu atawatoa roho vizee vyote, haraka akaenda kuchukua cerelac akawa anakula, ghafla yule malaika akatokea akamuuliza unafanya nini? kile kibibi kikajifanya mtoto kikasema: "nakula mam" malaika akamwambia fanya haraka basi twende tataaaaaa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…