Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,438
Masulupwete
Hizo sifa mbona zipo maeneo mengi ya Dar?Mwananyamala, Mwenge Mlalakua kwa mama chambo, Msasani maeneo ya maandazi road, Mikocheni A, Buguruni, Keko Marumbasi, Keko Mwanga, Keko Machungwa, kurasini shimo la udongo n.k.
Masulupwete
Hizo sifa mbona zipo maeneo mengi ya Dar?Mwananyamala, Mwenge Mlalakua kwa mama chambo, Msasani maeneo ya maandazi road, Mikocheni A, Buguruni, Keko Marumbasi, Keko Mwanga, Keko Machungwa, kurasini shimo la udongo n.k.
10.napia ndo waasisi wa vigodoro , mchiriku .
Kwa mujibubwa Meck Sadick 70% ya makaazi ya Dar es Salaam ni slums na hizo ulizotaja no sifa mojawapo ya slums kwa hiyo hayo ya mbagala yasikushangaze hali iko hivyo karibu jiji zima la Dae
Unaposema Mbagala unaamanisha eneo gani?.......maana kuna Kijichi, chamazi, mbande, Mbagala Kuu, Mbagala Rangi Tatu Mzinga etc. , Mbagala ni jina la Tarafa
Niliwahi kupita mbagala rangi tatu, chakula cha 1500 unaridhika vizuri tu